Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Huwa nalipa kika mwezi Dstv compact + shida yangu ni football ⚽. Mwezi huu nimegoma kabisa maana tulianza na 75 elf na sasa inakaribia laki moja
Then nikapata wazo LIVE STREAMING nimeangalia live Chelsea vs West Ham na sasa naangalia live Man U vs Newcastle United. Bundle ya unlimited speed ya siku kwa sh 1000 tena kwenye big screen nimeungaisha na HDMI from my computer kitu kina flow no kukwama kwama
Huwa nalipa kika mwezi Dstv compact + shida yangu ni football ⚽. Mwezi huu nimegoma kabisa maana tulianza na 75 elf na sasa inakaribia laki moja
Then nikapata wazo LIVE STREAMING nimeangalia live Chelsea vs West Ham na sasa naangalia live Man U vs Newcastle United. Bundle ya unlimited speed ya siku kwa sh 1000 tena kwenye big screen nimeungaisha na HDMI from my computer kitu kina flow no kukwama kwama
Football - Live Streaming Video / Watch Free Live Sport Streams-StreamHunterNaomba hiyo link ushushe hapa pia..
Hii link itapoteza mapato makubwa ya DStv, wakuu nawaomba hii link mui-save somewhwere huenda hii link isionekane tena hapa jamvini baada ya Multichoice kugundua sabotage kubwa kama hii.
Mhh mbona ni kawaida kuangalia mpira mtandaoni mkuu
VipBox | VipBox TV | Live Sports Live Streams
Link nyingine hio mm nimekua naitumia karibu mwaka sasa
Kuangalia mechi moja ya ubora wa wa high def inakula kama mb 300 hivi ....
Its true with mb 900 nawatch 3 games
Very cheap, kesho naita fundi aje ang'oe dish la hawa DStv, nawaambia finito!
Hii link itapoteza mapato makubwa ya DStv, wakuu nawaomba hii link mui-save somewhere huenda isionekane tena hapa jamvini baada ya Multichoice kugundua sabotage kubwa kama hii.