I smoked weed, nothing happened

I smoked weed, nothing happened

Jani bila msukutuo ni sawa na bure.... usiniulize msukutuo ndio nini nshaachaga hayo mambo.. sahivi juice yangu ya matunda kwa mama shadida au Pepsi yangu moja uyoooo naenda zangu kulala
 
IMG-20201211-WA0035.jpg
 
Wakuu taangu jana nilikua katika trials kuchek what it feels mtu akivuta bangi nikaenda kwa mwana kununua halafu akaninyongea kabisa nikarudi geto mida ya saa 3 jioni nikafungua mlango kisha nikawasha AC then nikawasha mmea nikapiga mbili lakini hakuna kilichonitokea na wala siku hisi any vibe na moshi nilikua naumeza pia. This is overated shit wazeee
Hata Mimi mwanzoni nlisema hvyo bse sikuwa navuta Moshi unaingia ndani ya ubongo...mpaka siku moja waliponitolea Tom moja kuuuuubwa kweli kweli wakaniweka juani (jua la saa nne) Hulu wakinielekeza nanna ya kuvuta ...
Nikajikuta Bob Marley nikapiga Moshi tara(Moshi Tatu Tatu){Kitendo ya kuchukua resi Bila kupumzika Ni kuzibananishia huko puani Dadek Niliona vichwa buku kumi vinafall down kislomotion ...
Alafu Raha kinyama
 
Umenyongewa kabisa ndo ukaenda kuvuta?
Nyinyi ndo mnachanganyiwa na unga mnageuka mateja

Usirudie tena kunyongewa kabisa
hizo tabia zikogo kinondoni, pusha wangu temeke ni dogo nnaemuwekaga mjini akifulia, ananyongeaga kwangu za wateja wake, anazirebisha fresh tu... january nahamia kigambs, kwahyo bwanamdgo itabidi nimuamini na hii task!!!.
 
Kitendo cha kufungua mlango tangu ulipoingia na kuufunga hadi unaandika huu uzi tayari bangi imefanya kazi
 
Wakuu taangu jana nilikua katika trials kuchek what it feels mtu akivuta bangi nikaenda kwa mwana kununua halafu akaninyongea kabisa nikarudi geto mida ya saa 3 jioni nikafungua mlango kisha nikawasha AC then nikawasha mmea nikapiga mbili lakini hakuna kilichonitokea na wala siku hisi any vibe na moshi nilikua naumeza pia. This is overated shit wazeee
Hata Chizi huwa anajiona yupo sawa tu, ila kwa wanaokuzunguka ndy wanaokujuwa uchizj wako..

Pengine kuna mengi ya tofauti uliyafanya bila kujijuwa.
 
Wakuu taangu jana nilikua katika trials kuchek what it feels mtu akivuta bangi nikaenda kwa mwana kununua halafu akaninyongea kabisa nikarudi geto mida ya saa 3 jioni nikafungua mlango kisha nikawasha AC then nikawasha mmea nikapiga mbili lakini hakuna kilichonitokea na wala siku hisi any vibe na moshi nilikua naumeza pia. This is overated shit wazeee
Of coz nothing happens. Bangi nimevuta hata mimi. Nilichoona inakupa sana daydreaming as long as ile " handas " bado ipo kichwani.

Na kitu kingine inakufanya unakuwa some sort of " introvert" ghafla na wakati wa handas hupendi kuwa distracted na kitu chochote.

Ndio maana wavuta bangi wengi wako so conscious na mtu kama anawapiga chabo. Hawapendi kabisa.

Hii habari kwamba eti inakufanya superman ni bullshit kabisa.

Ila labda tuseme inakufanya uwe focused kwenye kitu unachofanya wakati huo iwe kazi au starehe.

Mi bangi nilikuwa napata mzigo nakausha mwenyewe. Au mara nyingine party ya bangi yaani boooonge la msokoto linatengenezwa halafu linavutwa kwa zamu kwenye mduara. Hatari sana.

Mi niimevuta bangi nina kazi ya kuajiriwa na mshahara poa kabisa. Miaka ile sasa niliachana na upuuzi huo. Ila niligundua sigara ni hatari zaidi sababu unavuta muda mwingi wakati ganja unapiga kwa mida.


Kama uko jobless au unaunga unga sana unaweza kuwa " hooked" sababu inakupa aina fulani ya kujiona you are so smart and everybody else around you is s
stupid. Hapo sasa uko jobless

Sasa wewe sema nothing happened,
When it happens it will be too late.

,,,,,,,,,,,,, , ,,, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Pia kilichonifanya nione niko kwenye " wrong track" nakuamua kuacha ni baada ya zile " lizla" kuwa adimu. Sasa ganja man mmoja akasema tutumie karatasi za Biblia ya kiswahili zile kubwa. Nikaona sasa tunamchokoza Mungu mwenyewe tunaelekea kubaya. Nikaanza kuacha taratibu.
 
Of coz nothing happens. Bangi nimevuta hata mimi. Nilichoona inakupa sana daydreaming as long as ile " handas " bado ipo kichwani.

Na kitu kingine inakufanya unakuwa some sort of " introvert" ghafla na wakati wa handas hupendi kuwa distracted na kitu chochote.

Ndio maana wavuta bangi wengi wako so conscious na mtu kama anawapiga chabo. Hawapendi kabisa.

Hii habari kwamba eti inakufanya superman ni bullshit kabisa. Mi bangi nilikuwa napata mzigo nakausha mwenyewe. Au mara nyingine party ya bangi yaani boooonge la msokoto linatengenezwa halafu linavutwa kwa zamu kwenye mduara. Hatari sana.

Mi niimevuta bangi nina kazi ya kuajiriwa na mshahara poa kabisa. Miaka ile sasa niliachana na upuuzi huo. Ila niligundua sigara ni hatari zaidi sababu unavuta muda mwingi wakati ganja unapiga kwa mida.


Kama uko jobless au unaunga unga sana unaweza kuwa " hooked" sababu inakupa aina fulani ya kujiona you are so smart and everybody else around you is s
stupid. Hapo sasa uko jobless

Sasa wewe sema nothing happened,
When it happens it will be too late.
unakaushaje unaanika au...?
 
Back
Top Bottom