LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Mimi ni shabiki wa damu wa Dar Es Salaam Young Africans lakini hiki kilicho tokea kwa kijana mwenzetu Habib Kiombo kimenigusa sana.
Habib ame twezwa.
Anacho fanyiwa Habib ni public humiliation.
Anahukumiwa yeye kwa makosa ya viongozi na PR wa simba.
Kama kijana anae tafuta maisha yake kupitia mpira wa miguu sidhani kama atakuwa ana furahishwa na Maneno ya kejeli kutoka mashabiki wa Simba na Yanga wa mitandaoni.
Tuweke ushabiki pembeni, mwana atakuwa anapitia kipindi kigumu sana cha maisha yake.
Habib Kiombo sio mchezaji mbaya la hasha. Ni mchezaji mwenye uwezo mzuri tu uwanjani. Ukiona mchezaji anasajiliwa na Simba na Yanga basi uwe na uhakika kwamba ni mchezaji mzuri.
Tatizo ni poor choose of time ya kumtambulisha.
Habib sio mchezaji mbaya isipokuwa ametambulishwa katika kipindi kibaya.
Watu wa PR wa Simba wamemtambulisha Habib bila kuziheshimu siasa za Simba na Yanga.
Kwa siasa za Simba na Yanga, mashabiki wa Simba walitegemea leo angetambulishwa mchezaji wa kigeni mwenye jina kubwa au kama ni mchezaji wa hapa hapa bongo basi at least awe yule aliye fanya vizuri kwenye msimu ulio pita mfano George Mpole.
Unapo fanya matangazo makubwa kiasi hicho kuwatamanisha mashabiki wa klabu yako kwamba utakwenda kisimamisha Afrika halafu una mtambulisha mchezaji anae toka kwenye timu iliyo shuka daraja lazima utegemee kupata backlash kutoka kwa mashabiki wa Simba na Yanga.
Simba walitarajia kuletewa Rachel ( Genesis 29:18) lakini wakaishia kupewa Leah ( Genesis 29:25)
Mwisho wa siku kejeli zinaenda kwa kijana wa kitanzania anae pigana kutafuta ugali wake.
Simba wangeweza kutangaza majina makubwa mawili au moja halafu baada ya hapo ndo wakamtangaza Habib. Hivyo ndivyo siasa za Simba na Yanga zinavyo taka.
Hata hivyo Mungu ni wa ajabu sana. Huyo huyo Habib Kiombo ambae mashabiki wa Simba na Yanga wana mkejeli , anaweza kuwa mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania. Siku zote Mungu huwa anapenda kusimama na watu wanao chukuliwa kuwa hawawezi ( 1 Samuel 16:1-13)
Even the internet was created without internet.
Hata Wenger aliwahi ' kupigwa mawe' kwa sababu ya usajili wa Nicolas Anelka na baadae Thierry Henry.
Wenger huyo huyo aliwahi kumkataa Ronaldo, kilicho tokea kwenye career ya Ronaldo baadae hata Zuchu ana kijua.
i Sympathize with Habib Kiombo.
Habib Kiombo take heart. The Lord God is with you.
U shall be successful in ur career.
Habib ame twezwa.
Anacho fanyiwa Habib ni public humiliation.
Anahukumiwa yeye kwa makosa ya viongozi na PR wa simba.
Kama kijana anae tafuta maisha yake kupitia mpira wa miguu sidhani kama atakuwa ana furahishwa na Maneno ya kejeli kutoka mashabiki wa Simba na Yanga wa mitandaoni.
Tuweke ushabiki pembeni, mwana atakuwa anapitia kipindi kigumu sana cha maisha yake.
Habib Kiombo sio mchezaji mbaya la hasha. Ni mchezaji mwenye uwezo mzuri tu uwanjani. Ukiona mchezaji anasajiliwa na Simba na Yanga basi uwe na uhakika kwamba ni mchezaji mzuri.
Tatizo ni poor choose of time ya kumtambulisha.
Habib sio mchezaji mbaya isipokuwa ametambulishwa katika kipindi kibaya.
Watu wa PR wa Simba wamemtambulisha Habib bila kuziheshimu siasa za Simba na Yanga.
Kwa siasa za Simba na Yanga, mashabiki wa Simba walitegemea leo angetambulishwa mchezaji wa kigeni mwenye jina kubwa au kama ni mchezaji wa hapa hapa bongo basi at least awe yule aliye fanya vizuri kwenye msimu ulio pita mfano George Mpole.
Unapo fanya matangazo makubwa kiasi hicho kuwatamanisha mashabiki wa klabu yako kwamba utakwenda kisimamisha Afrika halafu una mtambulisha mchezaji anae toka kwenye timu iliyo shuka daraja lazima utegemee kupata backlash kutoka kwa mashabiki wa Simba na Yanga.
Simba walitarajia kuletewa Rachel ( Genesis 29:18) lakini wakaishia kupewa Leah ( Genesis 29:25)
Mwisho wa siku kejeli zinaenda kwa kijana wa kitanzania anae pigana kutafuta ugali wake.
Simba wangeweza kutangaza majina makubwa mawili au moja halafu baada ya hapo ndo wakamtangaza Habib. Hivyo ndivyo siasa za Simba na Yanga zinavyo taka.
Hata hivyo Mungu ni wa ajabu sana. Huyo huyo Habib Kiombo ambae mashabiki wa Simba na Yanga wana mkejeli , anaweza kuwa mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea katika ardhi ya Tanzania. Siku zote Mungu huwa anapenda kusimama na watu wanao chukuliwa kuwa hawawezi ( 1 Samuel 16:1-13)
Even the internet was created without internet.
Hata Wenger aliwahi ' kupigwa mawe' kwa sababu ya usajili wa Nicolas Anelka na baadae Thierry Henry.
Wenger huyo huyo aliwahi kumkataa Ronaldo, kilicho tokea kwenye career ya Ronaldo baadae hata Zuchu ana kijua.
i Sympathize with Habib Kiombo.
Habib Kiombo take heart. The Lord God is with you.
U shall be successful in ur career.