britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Pamoja pamoja mkuuKaribu tena.
Because of carefulWhy should we care???
Team msoga mnatembea mnakenua kenua tu, mwaka wenu huu 😂
Kabisa kabisa Kabisa Narudia kabisaBila ya khofu ya kuuwawa na mwili kutupwa Ruvu.
Lakini hata nyie hamuijui kesho yenu, punguza kichwa kikubwa.Usicheze na waliokutangulia town
Thanx Yna umenenepa weeeWelcome back
Enzi za mwendazake ulikuwa na stress balaa. Ulikuwa ukiguswa tu unamwaga mitusMajukumu yameisha Now we are free!
Kwanza pongezi Kwa kuendelea kulisukuma gurudumu la habari hapa!
Kuna Mikakati Muhimu sasa tutaanza kujua kabla ya wengine,
Be the first to know!!
Britanicca
Mkuu acha kwanza nimalize yaliyo nimetoa Dodoma, wakati Decay ikiendelea kule CHATOHata nyie hamuijui kesho yenu, punguza kichwa kikubwa.
Wapi Nimetukana Mkuu? Hapa AuEnzi za mwendazake ulikuwa na stress balaa. Ulikuwa ukiguswa tu unamwaga mitus
Nagaruka nagaruka now niko Tanzania , Next month Majukumu Slovenia aaaaKaribu mwanakwetu
Unawathibitishia watanzania wezi wa meno ya tembo mlivyorudi ikulu, ujinga ni kipaji.Mkuu acha kwanza nimalize yaliyo nimetoa Dodoma, wakati Decay ikiendelea kule CHATO