I think i'm in love ila sijui nifanyeje?

I think i'm in love ila sijui nifanyeje?

Mwalimu Gaijin hebu nifundishe kuandika na mm nizimikiwe bana!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Yasmin kwani ni makosa jamani.
<br />
<br />
kumpenda mtu c makosa, but how can u fall for someone u don't even know?take care usijefall na mwanamke mwenzako or vice versa!
 
Mwalimu Gaijin hebu nifundishe kuandika na mm nizimikiwe bana!

Hahaha Kimey bwana hivi hujapata thread mpaka muda huu?

But it's never too late, wewe kuwa charming and a gentleman saa zote maana tumeambiwa ndo sifa za The Finest

Though on second thoughts, some girls like thugs so wewe kila aliye mbele yako mchane tu.....lzm PM ifurike na threads zisheheni.

:]
 
Hahaha Kimey bwana hivi hujapata thread mpaka muda huu? <br />
<br />
But it's never too late, wewe kuwa charming and a gentleman saa zote maana tumeambiwa ndo sifa za The Finest<br />
<br />
Though on second thoughts, some girls like thugs so wewe kila aliye mbele yako mchane tu.....lzm PM ifurike na threads zisheheni. <br />
<br />
:]
<br />
<br />
Hahaha ngoja niendelee na u thug wangu huwezi jua kesho na mm nikawa hewani! Lol
 
JF raha acha mchezo.....maana unapata fans wa kila aina hata uwe mtukutu vipi!
 
Tatizo la homu boy wangu Verdic ataitolea PM!

Hapo ujue ndo atawaharibia nyote mliobaki! Lol

Maana Lisa nae anawake anaogopa kumtaja ila mambo yakiwa mazuri hapa itasaidia.🙂).
 
Mmmmhhhh all da best, akiwa mume wa mtu mfanye 'just friend'. Kuna mkaka humu JF yaani ningeweza ningemlink na my hommie coz ni full mashauzi nilipitia comments zake kwenye thread ya member anatafuta jiko! Was like dah huyu naye .................
 
<br />
<br />
how can you fall 4 someone you don't even know?

unaweza kumuoa mtu au kuolewa na mtu
na kuishi nae miaka but still humjui

life itself its a risk
so waache watu wa take risk
 
Ungefunguka ukam PM, uwenda na yeye ameshafika kwako, kumueleza public ataona noma bwana.
 
Back
Top Bottom