π€£π€£π€£π€£π€£Mimi boda boda sina hamu nao!
Nilipokua naanza mahusiano nilikua na msichana wangu yaani ilikua soul mate wangu , tulipendana mfano hakuna ! Boda boda akapita nae mazima mpaka leo hii sijawahi hata kukutana naye.
Boda boda mjue dunia ni ndogo sana!
π€£π€£π€£π€£π€£ Nikiwa mbali nampa funguo za nyumbani kwangu anipelekee vitu vyangu funguo ataniletea "hana shida bodaboda wangu"Au unatoa kwa wakala then unamtuma akuletee nyumbaniππ
"Bodaboda wangu ni muaminifu sana"
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Nmecheka hahahhahaMimi boda boda sina hamu nao!
Nilipokua naanza mahusiano nilikua na msichana wangu yaani ilikua soul mate wangu , tulipendana mfano hakuna ! Boda boda akapita nae mazima mpaka leo hii sijawahi hata kukutana naye.
Boda boda mjue dunia ni ndogo sana!
Hata sokoni namuandikia tu mahitaji na kumpa hela ananifuatia vitu "bodaboda wangu ni muelewa sana"π€£π€£π€£π€£π€£ Nikiwa mbali nampa funguo za nyumbani kwangu anipelekee vitu vyangu funguo ataniletea "hana shida bodaboda wangu"
Huyo dada hakukupendaπ€£ poleMimi boda boda sina hamu nao!
Nilipokua naanza mahusiano nilikua na msichana wangu yaani ilikua soul mate wangu , tulipendana mfano hakuna ! Boda boda akapita nae mazima mpaka leo hii sijawahi hata kukutana naye.
Boda boda mjue dunia ni ndogo sana!
Nkipata wageni namuagiza tu bia analeta kwa hela yake baadae nakuja kumrefund "bodaboda wangu ananisaida sana kwakweli" πHata sokoni namuandikia tu mahitaji na kumpa hela ananifuatia vitu "bodaboda wangu ni muelewa sana"
ππππππππππ Bodaboda sio watu wazuriβ Hata kama Kaenda Mbagala Sipandi Boda Nyingine Namsubiri Apa Apa Manzese Mpaka aje anipeleke nyumbaniβ
Nikiwa mahali na nikachelewa kurudi nyumbani, halali hadi anifuate "bodaboda wangu ana roho nzuri sana"Nkipata wageni namuagiza tu bia analeta kwa hela yake baadae nakuja kumrefund "bodaboda wangu ananisaida sana kwakweli" π
Binadamu ambao hawana ustaarabu wala kuzingatia kanuni za kazi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Boda boda nao ni binadamu mkuu.
Japo wengi ni pasua kichwa, ila wapo wema sana.Binadamu ambao hawana ustaarabu wala kuzingatia kanuni za kazi.
Kati ya bodaboda 100 kumi wenye ustaarabu hawafiki
Alinipenda asilimia mia na kuzidi, tulianza maisha kwa kulala chini hata mpaka kufikia steji ya kusema afadhali ya leo kuliko jana si ndio akakutana na boda boda !Huyo dada hakukupenda[emoji1787] pole
**** boda bida waaminifu sana kwahiyo hatushangai kufanya hivyo"nimempa bodaboda wangu kadi akanitolee pesa ATM" π
Kama ulikuwa umfikishi ulitegemea Nini?Alinipenda asilimia mia na kuzidi, tulianza maisha kwa kulala chini hata mpaka kufikia steji ya kusema afadhali ya leo kuliko jana si ndio akakutana na boda boda !
Bahati nzuri thread zake zipo humu kibao.