Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeji nakusalimia tu mm jamani ujumbe umeusikia huo lakiniThank you bby.. naona nitapona sasa hivi..
Your already upgraded to main chick my dear,no one like you Zigua princess..!
Huo wimbo napenda beats na chorus, na mpangilio wa maneno. Ujumbe wa huo wimbo huwa sikubaliani nao kabisa, kwa nini mdada uwe sidechick?
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
kama kunawaliotuma maombi kwako inabidi uanze kuangalia CV zao ili umpate aliye sahihi, ufanye maamuzi mapema kabla hawajaghairi.Maarifa gani hayo?
akipatikana mwenye vigezo tupe mrejesho ili maombi yasitishwe.Ndo nazipitia pitia hapa mkuu. Nisijeokota galasa bure
nitakuja pm ngoja niweke mambo sawa, golden chance hii. ila haujaweka vigezo vya unayemtaka ili nijitathmini kabla sijaja pm.Kama una ombi lilete tu
Akiulizwa kuna mtu anakulisha humu au kuna anayekuwekea bundle ili uingie jfUkimuita mwenzio hivyo shemeji unataka aulizwe ananijuaje eeh..
Kweli.Inataka moyo.
nitakuja pm ngoja niweke mambo sawa, golden chance hii. ila haujaweka vigezo vya unayemtaka ili nijitathmini kabla sijaja pm.
😳😳Usisahau picha mbili bank statement na hati za nyumba mashamba au shares
Mapenzi mkuu. Wanaume wenyewe nyie wachache ukipata pa kutuliza moyo unajituliza