No admission
JF-Expert Member
- Nov 26, 2011
- 215
- 68
He agrees that he love his wife and his family and he is apologized for a such stupid post. Mada imefungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... Kisima fanya hivyo.kwanza hakikisha kama kweli ni gono! Nakushauri afanye culture and sensitivity! hapo itakuwa rahisi kujua moja kama ndo yenyewe na pili kujua susceptibility ya hao wadudu kwenye dawa za aina tofaut tofaut, then you use the right treatment!
Hiyo anayoita gono sugu inaweza kuwa ya kawaida tu ila labda quality ya dawa alizotumia au hao wadudu ni resistant kwenye dawa alizotumia! Culture and sensitivity itakupa majibu ya uhakika zaidi!