hapana, mkuu! hebu soma tena hiyo story. nadhani alikuwa na maana ya kwamba miaka mitatu nyuma....kuanzia wakati wa hiyo kesi inayoendelea. yaani wakati kijogoo wake ana miaka 18! iwe iwavyo, this is total #%4&8@33!!! There, i've said it!!
Ndiyo wamefanya kosa kwa mujibu wa moral rules. Pia kidini wamefanya kosa, Bible inasema "na alaaniwe alalae na mke wa babae na watu wote waseme amina.
Biologically, watu wa familia moja wanaweza kuzaa mtoto mwenye udhaifu mkubwa. ndiyo maana cross-breeding zinapendeza, hivyo hata unapooa au olewa vema ukaenda kabila la mbali na lako.
Incest is very common even in tz societies, the few cases which surface is just a tip of iceberg, though morally is very wrong, it can be ok just for fun, but for the purpose of procreation is socially and biological disaster for the offsprings.
Mama atiwa mimba na mwanaye
Mjane mmoja wa kijiji cha Mwenezi nchini Zimbabwe, aliyejulikana kwa jina la Betty Mbereko (40), aliyetiwa mimba na mtoto wake wa kumzaa, Farai Mbereko (23) na kuutangazia umma kuwa anataka kufunga naye ndoa amefukuzwa katika kijiji hicho...
Betty amefukuzwa na uongozi wa kijiji kutokana na maelezo kuwa kitendo cha kupewa mimba na mtoto wake wa kumzaa ni cha kinyama na ni kinyume cha maadili ya kabila lao.
Tukio la kutiwa mimba kwa mama huyo limetokea mwanzoni mwa mwezi huu na kuripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari nchini Zimbabwe, ambapo uamuzi wa wawili hao kutaka kuoana ulipingwa vikali na ndugu, jamaa, pamoja na serikali ya kijiji.
Mwenyekiti wa kijiji cha Mwenezi, Nathan Muputirwa aliipinga ndoa hiyo kwa kusema: Hatuwezi kuruhusu hili kutokea kwenye kijiji chetu, ni dalili mbaya, ingekuwa zamani, watu hawa wangeuawa, lakini leo hatuwezi kuwaua kwasababu tunaogopa polisi
Pamoja na upinzani huo, mtoto wa mjane huyo, aliendelea kudai kuwa, yuko tayari kulipa mabaki ya mahari ambayo marehemu baba yake alikuwa hajamalizia ili aweze kummiliki mama yake, huku akimsifia kuwa ana mvuto sana wa kimapenzi.
Nampenda sana mama yangu, kwani yuko very sexy, na nitamalizia ile mahari iliyobaki kabla ya kifo cha mzee, ili nimuoe, alisema Farai.
Hata hivyo, serikali ya kijiji iliwataka wawili hao kuchagua kati ya kusitisha ndoa hiyo au kuhama kijiji na wao wakachagua kuhama na kuelekea kusikojulikana.
Mama atiwa mimba na mwanaye
Mjane mmoja wa kijiji cha Mwenezi nchini Zimbabwe, aliyejulikana kwa jina la Betty Mbereko (40), aliyetiwa mimba na mtoto wake wa kumzaa, Farai Mbereko (23) na kuutangazia umma kuwa anataka kufunga naye ndoa amefukuzwa katika kijiji hicho...
Betty amefukuzwa na uongozi wa kijiji kutokana na maelezo kuwa kitendo cha kupewa mimba na mtoto wake wa kumzaa ni cha kinyama na ni kinyume cha maadili ya kabila lao.
Tukio la kutiwa mimba kwa mama huyo limetokea mwanzoni mwa mwezi huu na kuripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari nchini Zimbabwe, ambapo uamuzi wa wawili hao kutaka kuoana ulipingwa vikali na ndugu, jamaa, pamoja na serikali ya kijiji.
Mwenyekiti wa kijiji cha Mwenezi, Nathan Muputirwa aliipinga ndoa hiyo kwa kusema: Hatuwezi kuruhusu hili kutokea kwenye kijiji chetu, ni dalili mbaya, ingekuwa zamani, watu hawa wangeuawa, lakini leo hatuwezi kuwaua kwasababu tunaogopa polisi
Pamoja na upinzani huo, mtoto wa mjane huyo, aliendelea kudai kuwa, yuko tayari kulipa mabaki ya mahari ambayo marehemu baba yake alikuwa hajamalizia ili aweze kummiliki mama yake, huku akimsifia kuwa ana mvuto sana wa kimapenzi.
Nampenda sana mama yangu, kwani yuko very sexy, na nitamalizia ile mahari iliyobaki kabla ya kifo cha mzee, ili nimuoe, alisema Farai.
Hata hivyo, serikali ya kijiji iliwataka wawili hao kuchagua kati ya kusitisha ndoa hiyo au kuhama kijiji na wao wakachagua kuhama na kuelekea kusikojulikana.
...hata wanyama hawafanyi hivyo, ...hao wanamatatizo yao ya akili!
Hii inapingana hata na maandiko matakatifu na ni laana. "NA ALAANIWE ALALAE NA MKE WA BABA YAKE, KWA KUWA AMEFUNUA MAVAZI YA BABAYE. NA WATU WOTE WASEME 'AMINA'" Kumbukumbu la Torati 27: 20
Ni dhambi ambayo kwa wakristo haisamehewi. Ni laana na imeandikwa. Ole wake mtu yule alalaye au aufunuaye uchu wa mke wa baba yake/mama yake. Mwisho wa dunia, kila unyama utafanyika duniani.
Just curious: mmetoa vifungu vya biblia na mimi ni msomaji wa biblia
Tunasema kifo kitatutenganisha!, so mama mtu si mke wa mtu yeyote, na biblia inasema yuko huru kuolewa! we have seen a lot of them.
So my take, ni kuwa huyu mama na mtoto tuwa judge based on our moral and unwritten behaviour standarda siyo biblia.
Au wadaumnasemaje, kama awe judged kiblilia kuna yeyote anaweza akafafanua zaidi
waberoya