Mkuu, so wewe unajilinganisha na mbuzi au nyani?; hujui kuwa sisi binadamu tumepewa akili na utashi ili tutofautiane na wanyama?
Hii inashangaza sana, kumbe nawe ukipata fursa nawe waweza fanya vile!
source please?
Mwanamke mmoja mjane kwa miaka 42 aitwaye Betty Mbereko,amepewa mimba na mwanae wa kwanza wa kumzaa mwenye miaka 23!
Baada ya kujazwa mimba na mwanaye huyo,alisema ana hamu ya kuolewa na mtoto wake aliyemjaza mimba hiyo!
Akiongea mbele ya mahakama ya kijiji alisema kwamba alikuwa anampenda mtoto wake huyo muda mrefu,na akaihakikishia mahakama kwamba ndiye aliyemjaza mimba hiyo!
Bety alisema ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili na hakuna mwingine mwenye nafasi ya kuingilia!
Kwa upande wa mwanaye huyo alisema mbele ya mahakama kwamba amejiandaa kumuoa mama yake huyo na amejiandaa kulipa kulipa mahari iliyobakia ambayo baba yake hakuimalizia!"Nitamaliza mahari kwa wazazi wa mama ili nimuoe mama"!
SOURCE:MWANANCHI 6.1.2012
Jamani jamani tunaelekea wapi!Sasa ni nani aliyeanza kumuaproach mwenzie?Mmh,aibu ya mwaka isiyoelezeka! ''Yesu afanye haraka kurudi tu''
Mwanamke mmoja mjane kwa miaka 42 aitwaye Betty Mbereko,amepewa mimba na mwanae wa kwanza wa kumzaa mwenye miaka 23!
Baada ya kujazwa mimba na mwanaye huyo,alisema ana hamu ya kuolewa na mtoto wake aliyemjaza mimba hiyo!
Akiongea mbele ya mahakama ya kijiji alisema kwamba alikuwa anampenda mtoto wake huyo muda mrefu,na akaihakikishia mahakama kwamba ndiye aliyemjaza mimba hiyo!
Bety alisema ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili na hakuna mwingine mwenye nafasi ya kuingilia!
Kwa upande wa mwanaye huyo alisema mbele ya mahakama kwamba amejiandaa kumuoa mama yake huyo na amejiandaa kulipa kulipa mahari iliyobakia ambayo baba yake hakuimalizia!"Nitamaliza mahari kwa wazazi wa mama ili nimuoe mama"!
SOURCE:MWANANCHI 6.1.2012
Mwanamke mmoja mjane kwa miaka 42 aitwaye Betty Mbereko,amepewa mimba na mwanae wa kwanza wa kumzaa mwenye miaka 23!
Baada ya kujazwa mimba na mwanaye huyo,alisema ana hamu ya kuolewa na mtoto wake aliyemjaza mimba hiyo!
Akiongea mbele ya mahakama ya kijiji alisema kwamba alikuwa anampenda mtoto wake huyo muda mrefu,na akaihakikishia mahakama kwamba ndiye aliyemjaza mimba hiyo!
Bety alisema ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili na hakuna mwingine mwenye nafasi ya kuingilia!
Kwa upande wa mwanaye huyo alisema mbele ya mahakama kwamba amejiandaa kumuoa mama yake huyo na amejiandaa kulipa kulipa mahari iliyobakia ambayo baba yake hakuimalizia!"Nitamaliza mahari kwa wazazi wa mama ili nimuoe mama"!
SOURCE:MWANANCHI 6.1.2012