Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
Mtoto utarudije ulikotokea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanamke mmoja mjane kwa miaka 42 aitwaye betty mbereko,amepewa mimba na mwanae wa kwanza wa kumzaa mwenye miaka 23!
Baada ya kujazwa mimba na mwanaye huyo,alisema ana hamu ya kuolewa na mtoto wake aliyemjaza mimba hiyo!
Akiongea mbele ya mahakama ya kijiji alisema kwamba alikuwa anampenda mtoto wake huyo muda mrefu,na akaihakikishia mahakama kwamba ndiye aliyemjaza mimba hiyo!
Bety alisema ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili na hakuna mwingine mwenye nafasi ya kuingilia!
Kwa upande wa mwanaye huyo alisema mbele ya mahakama kwamba amejiandaa kumuoa mama yake huyo na amejiandaa kulipa kulipa mahari iliyobakia ambayo baba yake hakuimalizia!"nitamaliza mahari kwa wazazi wa mama ili nimuoe mama"!
Source:mwananchi 6.1.2012
Inanikumbusha enzi zile za Charles Hilary na Julius Nyaisanga, habari nyepesi nyepesi na haina uzito wowote, teteteh!!!
Kha na wale wanaotaka utajiri wanawaingilia mama zao ili kule Kariakoo maduka yajae huwasemi....haya sasa! Sasa si baba tena kumpa bintie zawadi ya mtoto ila MAMA...
A Zimbabwean woman and her son have done the unthinkable they have fallen in love with one another.