I want to marry Sasha Obama seriously

I want to marry Sasha Obama seriously

Sasha keshafikisha 18 yrs tayari? Angalia mkuu usije ukapachikwa u-pedophile na kulazimishwa kuji-register kama sexual predator [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umejuaje kuwa huyo sasha yuko serious na kuolewa?[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
My dear Tanzanians, wanawake wa Kitanzania hawako serious na kuolewa, wengi wana macho mengi.

Nimeonelea nikipata mtoto wa Kiongozi mstaafu wa Dunia Sasha Obama, nitatulia na moyo wangu kuwa satisfied, hali yangu kiuchumi sio kigezo bali kigezo ni mke.

Nisaidieni mimi Deogratius Kisandu.

View attachment 487563
Viroba katika ubora wake
 
Peleka posa kwa mababu zake na ndugu wa baba'ke, jirani tu hapo Kenya.
 
je unajua dalili za mtu anae anza ku chizi?
Moja wapo ni hii yako
 
tehe tehe tehe Kisandu
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Mkuu naminakuombea ilaukimpata usisahau kunipigia pande kwayule mkubwa ake[emoji12]
 
Kukushauri tu ni uanzie kwenye mikutano ya maombi broo everything is posible if u believe
 
My dear Tanzanians, wanawake wa Kitanzania hawako serious na kuolewa, wengi wana macho mengi.

Nimeonelea nikipata mtoto wa Kiongozi mstaafu wa Dunia Sasha Obama, nitatulia na moyo wangu kuwa satisfied, hali yangu kiuchumi sio kigezo bali kigezo ni mke.

Nisaidieni mimi Deogratius Kisandu.

View attachment 487563
Dah...Mwana...she's just 15yrs old..........Utamshibisha kweli???😎😎😎
Mimi Deogratius Kisandu, nimezaliwa mwaka 1980 na sio mwaka 1983 kama inavyosemwa..
 
My dear Tanzanians, wanawake wa Kitanzania hawako serious na kuolewa, wengi wana macho mengi.

Nimeonelea nikipata mtoto wa Kiongozi mstaafu wa Dunia Sasha Obama, nitatulia na moyo wangu kuwa satisfied, hali yangu kiuchumi sio kigezo bali kigezo ni mke.

Nisaidieni mimi Deogratius Kisandu.

View attachment 487563
utafungwa kwa ubakaji wewe bado mdogo huyo mtoto wa watu, bafo mwanafunzi
 
Back
Top Bottom