i will not forget....

i will not forget....

Mimi badala ya kusema pole nasema Hongera kwa kurudi salama, :clap2::clap2: Mungu ashukuriwe na inabidi hii iwe sherehe na sio majonzi...., by the way wale playboys inabidi watake it slow..., easy for the heart wasije waka-overwork heart yako Karibu Tena
 
kweli wallah ahsante na mie nishakaribia japo wewe nimgeni kwangu na nnauhakika bado mie sijakukaribisha karibu na wewe.......
bwana aliye juu apewe sifa.
karibu cna sister na pole
 
tena furaha yangu sijui nani mwenye uwezo wa kuijua ndani ya nafsi yangu wallah hapa nyumbani nina sherehe karibuni na nyiee woote nawaalikeni... hehehhee
Mimi badala ya kusema pole nasema Hongera kwa kurudi salama, :clap2::clap2: Mungu ashukuriwe na inabidi hii iwe sherehe na sio majonzi...., by the way wale playboys inabidi watake it slow..., easy for the heart wasije waka-overwork heart yako Karibu Tena
 
Pole thana na karibu thana..tumshukuru Mungu thana kwa yote aliyokutendea! wabilah....
 
hivyo vitoto vyako vyafanyaje hapo??

Nimeupenda sana mtego wao wa MOYO japo si kwa lengo la kukuumiza
Duuh . . . . jpili tamu kweeeeeli kweli, bila shaka hashycool atakuwa cooker leo
bibie meno SELASINI NA NJE YOTE MBILI
 
hehehhehhehheeeh lol........
Nimeupenda sana mtego wao wa MOYO japo si kwa lengo la kukuumiza
Duuh . . . . jpili tamu kweeeeeli kweli, bila shaka hashycool atakuwa cooker leo
bibie meno SELASINI NA NJE YOTE MBILI
 
oyaaa big sista pole sana
sijakuwepo mitaa hii kitambo kumbe ulikuwepo mgonjwa?
freshi kama vipi mzuka wa kutosha mida hii ambayo uko bomba
 
Pole sana Nilham mungu akuzidishie afya njema
 
Dada Nilham,

Kila lenye heri liwe la kwako,
Mawaa na balaa Mola akuepushe,
Karibu tena na tunashukuru Mwenyezi Mungu alisikia maombi yako na yetu.
 
Nimeupenda sana mtego wao wa MOYO japo si kwa lengo la kukuumiza
Duuh . . . . jpili tamu kweeeeeli kweli, bila shaka hashycool atakuwa cooker leo
bibie meno SELASINI NA NJE YOTE MBILI

watu peopleeeeeeeeee
 
Karibu sana na pole sana Mungu yuko pamoja nawe
 
and dis 4 someone...hehhhehhehe...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom