Mkuu BAK amani kwako braza! Karibu Arusha Xmass ule na kunywa matamu ya nchi
Mkuu jana niliona kama wamekupiga ban vipi iliiepa? Midkama ya saa nne au tano night? m being curious!
BAK!!Very good to read from you, what happened? au ulikuwa miezi mingi ya asali?..hiyo ya ARS sahau kabisa, MANURE chama kubwa..jamani, I miss ushabiki wako kule nk..
Happy Xmas and may Almighty take care of you to 2011..Welcome back to JF!!!