ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Mwadilla wakuu
Kama ningekuwa mod wa humu mjengoni sijui kama pangekalika humu yaani vishoka vyote
ningevibanika kisawasawa mpaka vilambe kisogo na vile vitikisa goli navyo ningevipa beki no3
waonaje mtulinga wake ulivyo mkali kwani mmngeambulia kitu humu
Mtu analeta fyooo nami nampa kichapo cha kumezea mate anashindwa hata kuamka
chezea lady weweeeeeeeeeeee thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Wapendwa wangu yaani kama ningekapata kuwa mod kwa muda mchache tu wa kama masaa
7 hivi yaani dunia yote ya jf ingebadilika kuwa giza totorooo anayejiona wa wa juu anarudishwa
chiini hehehehehehehheeeeeeeeeeeeeeeeiya na aanayejiona kafika anashushwa chini aanze moja
utajiju kwanini wajifanya lebeneke wakati wameshasaini mkataba na sheria ya mitandao siku hizi
ndo kimpango mzima tunakuja kuwafurahisha na kuwaletea kicheko maana ule mwendo
kuinstagram ukurasa wake umefungwa sasa ukiweka tupicha twa ovyo waswekwa rumande bila kupenda
kilichobakia nini wapenzi mabestito nikufurahishana tu ndo mwendo mzima
maana washatubana kiaina tu cha kusema siye akiladyf hahahahahahhahahhaaaaa tunabaki kuchekea ndani
Nawatakia kicheko chema wadau wangu na wapenzi wangu na kuwaachia kaujumbe haka:
SIKU INGETOKEA NINGEPEWA KUWA MOD WA MASAA HATA 2 NINGEFURAHIJE:A S-rap:
CC: amu, Heaven on Earth, miss chagga, valentine, Khantwe
Kama ningekuwa mod wa humu mjengoni sijui kama pangekalika humu yaani vishoka vyote
ningevibanika kisawasawa mpaka vilambe kisogo na vile vitikisa goli navyo ningevipa beki no3
waonaje mtulinga wake ulivyo mkali kwani mmngeambulia kitu humu
Mtu analeta fyooo nami nampa kichapo cha kumezea mate anashindwa hata kuamka
chezea lady weweeeeeeeeeeee thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Wapendwa wangu yaani kama ningekapata kuwa mod kwa muda mchache tu wa kama masaa
7 hivi yaani dunia yote ya jf ingebadilika kuwa giza totorooo anayejiona wa wa juu anarudishwa
chiini hehehehehehehheeeeeeeeeeeeeeeeiya na aanayejiona kafika anashushwa chini aanze moja
utajiju kwanini wajifanya lebeneke wakati wameshasaini mkataba na sheria ya mitandao siku hizi
ndo kimpango mzima tunakuja kuwafurahisha na kuwaletea kicheko maana ule mwendo
kuinstagram ukurasa wake umefungwa sasa ukiweka tupicha twa ovyo waswekwa rumande bila kupenda
kilichobakia nini wapenzi mabestito nikufurahishana tu ndo mwendo mzima
maana washatubana kiaina tu cha kusema siye akiladyf hahahahahahhahahhaaaaa tunabaki kuchekea ndani
Nawatakia kicheko chema wadau wangu na wapenzi wangu na kuwaachia kaujumbe haka:
SIKU INGETOKEA NINGEPEWA KUWA MOD WA MASAA HATA 2 NINGEFURAHIJE:A S-rap:
CC: amu, Heaven on Earth, miss chagga, valentine, Khantwe
Last edited by a moderator: