I wish ningekuwa mod wa humu ndani

I wish ningekuwa mod wa humu ndani

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Mwadilla wakuu

Kama ningekuwa mod wa humu mjengoni sijui kama pangekalika humu yaani vishoka vyote
ningevibanika kisawasawa mpaka vilambe kisogo na vile vitikisa goli navyo ningevipa beki no3
waonaje mtulinga wake ulivyo mkali kwani mmngeambulia kitu humu
Mtu analeta fyooo nami nampa kichapo cha kumezea mate anashindwa hata kuamka
chezea lady weweeeeeeeeeeee thubutuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu


Wapendwa wangu yaani kama ningekapata kuwa mod kwa muda mchache tu wa kama masaa
7 hivi yaani dunia yote ya jf ingebadilika kuwa giza totorooo anayejiona wa wa juu anarudishwa
chiini hehehehehehehheeeeeeeeeeeeeeeeiya na aanayejiona kafika anashushwa chini aanze moja
utajiju kwanini wajifanya lebeneke wakati wameshasaini mkataba na sheria ya mitandao siku hizi
ndo kimpango mzima tunakuja kuwafurahisha na kuwaletea kicheko maana ule mwendo
kuinstagram ukurasa wake umefungwa sasa ukiweka tupicha twa ovyo waswekwa rumande bila kupenda
kilichobakia nini wapenzi mabestito nikufurahishana tu ndo mwendo mzima
maana washatubana kiaina tu cha kusema siye akiladyf hahahahahahhahahhaaaaa tunabaki kuchekea ndani

Nawatakia kicheko chema wadau wangu na wapenzi wangu na kuwaachia kaujumbe haka:
SIKU INGETOKEA NINGEPEWA KUWA MOD WA MASAA HATA 2 NINGEFURAHIJE:A S-rap:



CC: amu, Heaven on Earth, miss chagga, valentine, Khantwe
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi naona kuna haja ya kutunga katiba ya jf utakao pelekea kuwa na uchaguzi mkuu kila baada ya kipinsi furani, hii italwta changamoto kwa mods kujua wajibu wao na siyo kama wanavyofanya sasa.
 
heeeeee shem umealikwa huku, hivi unajua utanibanikisha kwa mamods hapa nibanikwe bila hata kikaango hahahah
Hata mimi naona kuna haja ya kutunga katiba ya jf utakao pelekea kuwa na uchaguzi mkuu kila baada ya kipinsi furani, hii italwta changamoto kwa mods kujua wajibu wao na siyo kama wanavyofanya sasa.
 
ladyfurahia mi nlitegemea ungesema ungejitahidi kujenga mazingira ya kuongeza uchumi wa mtu mmoja mmoja humu (collective entrepreneurship schemes) ningekuona kichwa....huna issue mdada. Lol
 
Last edited by a moderator:
kuna wakati wa kufurahi na kuna wakati wa kuwajibika ndugu sio nyakati zote uko busy kama unakimbizwa na defender la mjeshi

acha wakati mwingine tujiashue kivyetuvyetu mkuuu huna issue mwenyewe uliyelala na unaamka kunakucha nitakuitia Lara1 akuandikikie Biographical nimwite sasa sema suuuuuuuuuuuuu
ladyfurahia mi nlitegemea ungesema ungejitahidi kujenga mazingira ya kuongeza uchumi wa mtu mmoja mmoja humu (collective entrepreneurship schemes) ningekuona kichwa....huna issue mdada. Lol
 
kuna wakati wa kufurahi na kuna wakati wa kuwajibika ndugu sio nyakati zote uko busy kama unakimbizwa na defender la mjeshi

acha wakati mwingine tujiashue kivyetuvyetu mkuuu huna issue mwenyewe uliyelala na unaamka kunakucha nitakuitia Lara1 akuandikikie Biographical nimwite sasa sema suuuuuuuuuuuuu

Suuuu. Hahaha
Biographical ya nn ??
 
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aisee nakuonea huruma kweli ndugu yangu
hanaga cha rafiki yule ujue shauriro ngoja nifanye mambozi aje hapa ndo utaona huo mziki ni wa aina gani
Yule nimesha muweka kiganjani hafurukuti hafanyi lolote (unofficial mchepuko).. Utaumbuka mwenyewe.
 
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aisee nakuonea huruma kweli ndugu yangu
hanaga cha rafiki yule ujue shauriro ngoja nifanye mambozi aje hapa ndo utaona huo mziki ni wa aina gani

I'm waiting....
Wachagga tunajuana dogo. Lol
 
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiii usiniache hoi unataka kuonana na mmachame hujitaki wewe
karibu milimani kama unataka kuonana na mm heheheheheheheeee
Sawa mushi/swai/kimaro alaf itabdi tuonane... Tufahamiane zaidi. Tehe
 
Back
Top Bottom