mkuu utakua umeinyooosha siku yangu vyemaNgoja niweke picha zao wote hapa uwajue.
Ebu muwekee utakuwa umempiga chura tekeNgoja niweke picha zao wote hapa uwajue.
Mzee huwezi kuamini picha ya Mshana Jr inagoma kuji-upload.mkuu utakua umeinyooosha siku yangu vyema
Picha ya Mshana Inazingua kupanda.Ebu muwekee utakuwa umempiga chura teke
ha aaaaaaaaaaaaaaaa mifwa mm unanifananisha na churaπππππEbu muwekee utakuwa umempiga chura teke
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa itakuja tyuPicha ya Mshana Inazingua kupanda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ha aaaaaaaaaaaaaaaa mifwa mm unanifananisha na churaπππππ
Ngoja nizifanyie maombi huku mlimani...Donga unataka kuzifanyia nini hizo sura jamani
SawaNgoja nizifanyie maombi huku mlimani...
haya bwana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo ni msemo bana, wanasemaga ukimpiga chura teke, umemuongezea(spidi) safari yake.
Huyo jamaa akikuwekea .picha atakurahisishia adhma yako
Nasubiri mrejesho BabuNgoja nizifanyie maombi huku mlimani...
Akituona atavumilia?Mkuu mbona zipo humu humu nenda kwenye uzi wa jf photos hahahaha
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwanini ? nisivumilieππππAkituona atavumilia?
woke woke wunataka wuwaroge?Mshana Jr@mwifwa@hazard fc@demiss@mzigua09@mama sabrina@money penny@yna4@mumy na kadhalikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa