I wish nisingekutana nae

I wish nisingekutana nae

Wapendwa mnaweza kupaka sana ila mwisho wa siku hali halisi naijua mm. Hakuna majigambo. Niwaulize: kwa nini ndoa nyingi zimevunjika au zina migogoro? Unajuaje kama uliye nae anakupenda? Watu huingia kwenye mahusiano kwa sababu zao na zikishachuja ndo matatizo huanza. Mtu asinilaumu kwa kuwa wazi hivi maana kila mtu angekuwa wazi mngeshangaa. Enyi mnaolaumu fikirieni tena
 
Wapendwa mnaweza kupaka sana ila mwisho wa siku hali halisi naijua mm. Hakuna majigambo. Niwaulize: kwa nini ndoa nyingi zimevunjika au zina migogoro? Unajuaje kama uliye nae anakupenda? Watu huingia kwenye mahusiano kwa sababu zao na zikishachuja ndo matatizo huanza. Sasa mi kuliona hili na kulipangua kisha kuliweka hadharani imekuwa tabu? Mapeni ni subjective, sio objective (mkitaka ufafanuzi zaidi nitatoa). Sidhani kama huwa mnapenda tu kwa vile kuna amri ya upendo. Mtu asinilaumu kwa kuwa wazi hivi maana kila mtu angekuwa wazi mngeshangaa. Enyi mnaolaumu fikirieni tena.
 
Ukilipenda Boga, penda na Majani yake!

In any way, yeye yuko attached na kwao, ndugu zake, kabila lake, na kila kitokacho kwao, so sio rahisi akakubali ukampenda yeye tu, na kuidharau lineage yake...huh!

Hayo ni mapenzi ya KUWAKA TAMAA ZAIDI, KULIKO mapenzi ya moyoni!

Usimpotezee muda mtoto wa wengine babaake!

Hakumpenda huyo, balia alimtesa kwa kunyanyapaa ndugu na pia ameonyesha upeo mdogo sana wa mapenzi. cha kumsaidia tu ni kumwambia asiwape third party nafasi kwenye mapenzi yake
 
I feel when I sorrow most; It is better to have love and lost, Than never to have loved at all. But; Why love is such a sorrowful thing. This I never could understand; Pain and Passion are linked together, Ever I find them hand in hand. Cause? Love is not blind- it sees more; not less. But because it sees more; It is willing to see less. Despite of those: Love is as powerful as death; Passion is a strong as death itself. It bursts into flame; And bursts like a raging fire. Water can’t put it out; No flood can drown it. But if anyone tried to buy love with his wealth; Contempt is all he would get. Even though,Take precaution as: Love is not something to play with. Love is like a river; it goes where it likes; It bends this way and that way. Now it is full, now it is empty: It brings life; it brings death, And no man can stop it or change its course! Then remember: When you love someone/something, set it free. When it comes your way, it is yours and When it doesn’t, it didn’t mean to be yours! Lastly, keep in Mind: Marriage is the only; and only war where you sleep with your enemy!
 
Wapendwa mnaweza kupaka sana ila mwisho wa siku hali halisi naijua mm. Hakuna majigambo. Niwaulize: kwa nini ndoa nyingi zimevunjika au zina migogoro? Unajuaje kama uliye nae anakupenda? Watu huingia kwenye mahusiano kwa sababu zao na zikishachuja ndo matatizo huanza. Sasa mi kuliona hili na kulipangua kisha kuliweka hadharani imekuwa tabu? Mapeni ni subjective, sio objective (mkitaka ufafanuzi zaidi nitatoa). Sidhani kama huwa mnapenda tu kwa vile kuna amri ya upendo. Mtu asinilaumu kwa kuwa wazi hivi maana kila mtu angekuwa wazi mngeshangaa. Enyi mnaolaumu fikirieni tena.
Serious bra Kingi hata mimi nawashangaa wanaolaumu kwa sababu ya wewe kuweka ukweli wa mambo kwa lengo la kusaidiwa kimawazo. Lakini kubaliana na yote kwani ndio unapata varieties za watu na mawazo yao. Ni nzuri kupata changamoto hizi lakini simamia pale unapoamini ni sahihi.

Sintokuelwa pale utakapoamua kuishi na bibie halafu baada ya miaka miwili unakuja kutuambia ile ndoa yetu ambayo nililazimika kuingia kutokana na nyie kunilaumu imevunjika.
 
lakini mapenzi ni nini? .

In Praise of Love Love is long suffering, Love is kind, Love is not envious, Love doesn’t brag, Love is not conceited, Love is not ill mannered, Love is self-seeking, Love is not irritable, Love takes no note of injury. Love is not happy when injustice triumphs, Love is glad when truth wins out. Love is always ready to make allowance, Love is always ready to trust, Love is always ready to hope, Love is always ready to be patient. Everything will pass away, but love will never end.
 
Lets be serious. Huyu sio wa kupewa pole. Wewe ni mchafuzi tu, kumpotezea binti wa watu muda. Love is not selfish, love does not ask why... kabila, hali ya maisha...samahani lakini kaka inaonyesha jinsi ulivyo na narrow-mindedness.

Nilidhani hii ni forum for Great Thinkers!
wewe husitufundishe kuwa serious bwana, tuko serious ndio maana tuko hapa kwa miaka sasa, wewe umekuja jana unataka kuleta mizenguo.

Na hii ni forum ya Great Thinkers ila kama unaona sio you can leave as soon as possible. Yaani wewe unaona hawa wote hapa chini na wengine sio Great thinkers
- MM
-Field Marshall
-Sipo
-Nguli
-Invisible
-FL1
-WOS
-De Novo
-Babra
-Exaud Makyao
-Chrispin
-Sinkala
-Geoff
-bht
-Kingi
-wengineo
 
Iliwahi kunikuta hiyo ya kupendwa na demu kuliko nilivyompenda yeye (mara nyingi hiyo unakuja ku-realize that later on). Yeah huwa ni bonge la dilemma, hasa jinsi ya kuterminate hiyo relationship as amicably as possible.

Unakuta demu anaanza ku-dream aloud about your future together as a family. Hiyo ndiyo itakuchanganya kabisa.
Think hard about what YOU want, and take action sooner rather than later.
ndugu che guevera, ni kweli kama ulivyoandika hapa kwani huyu binti ameanza hadi kuwaza mambo mengi sana baina yetu mpaka najisikia vibaya. Kama ulivyosema kuhusu kutake action mapema najitahidi kwanza ikiwa ni pamoja na kutofanya chochote na yeye hasa mapenzi nataka niweke heshima kubwa sana kati yetu kwani sitaki kuingia naye kwenye mambo mengine aone kwamba nilitaka kumtumia tu then nimkimbie. Asante kwa ushauri wako bra CG
 
Daa umenigusa...inafanana na stori yangu!
You can see haya ni mambo amabyo yapo na mimi sidhani kama kuna mtu anapanga itokee ila inatokea pasipo kujua. Gender Sensitive itabidi uiweke hapa ili tujue kama unahitaji ushauri wa jinsi gani and it will be a lesson to others
 
...Wewe Sipo hebu achana na mambo ya kutafuta mwanamke online, tafuta mwanamke live umuone na kupenda tabia zake then muelewane.Haya mambo ya kutafuta mtu online ni wizi mtupu, at the end of the day ndio yanakuja hayo uliyoyasema hapo juu kwamba hujisikii kumpenda.
Kweli Pretty, asante, i didnt know before mpaka yametokea ndio nimejua consequences zake, so far am not heart breaker kwahiyo najisikia vibaya
 
Hope, sipo tuko na wengine pamoja katika hili. Ni rahisi kusema kuliko kutenda. Waweza sema nitafanya hivi ila inakuwa kinyume chake. As long as we live, ukamilifu haupo
 
Hope, sipo tuko na wengine pamoja katika hili. Ni rahisi kusema kuliko kutenda. Waweza sema nitafanya hivi ila inakuwa kinyume chake. As long as we live, ukamilifu haupo
Ni kweli Kingi
Cha muhimu ni kusali na kumuomba MUNGU atutimizie mahitaji yetu kwa kadri ambavyo ni sahihi katika maisha yetu
 
Lets be serious. Huyu sio wa kupewa pole. Wewe ni mchafuzi tu, kumpotezea binti wa watu muda. Love is not selfish, love does not ask why... kabila, hali ya maisha...samahani lakini kaka inaonyesha jinsi ulivyo na narrow-mindedness.

Nilidhani hii ni forum for Great Thinkers!
Theodora;
Great thinkers dont judge
great thinkers dont accuse
great thinkers think!
Great thinkers understand

Great thinkers advice
Great thinkers help
great thinkers are JF members
If think we are not, then congrats...
You could be a great sinker

i say this simply because you have missed the bus
i remember once my bro bluray told me
you have to approach and understand

My advice to you
rather than criticising the forum or mtoa mada
tusaidie na sisi kuwa great thinker kama wewe theodora!!!

A great thinker help other, transfer you qualities and skills rather than keeping to your self
 
Hope, sipo tuko na wengine pamoja katika hili. Ni rahisi kusema kuliko kutenda. Waweza sema nitafanya hivi ila inakuwa kinyume chake. As long as we live, ukamilifu haupo

Nakuunga mkono, as long as we live ukamilifu haupo.

Vipi wewe wataka wenzio awe mkamilifu? kama ulivyosema ulimpenda yeye, unamwacha ungali unampenda kwa sababu ya mapungufu aliyonayo i.e maisha yake ya nyuma, anapoishi na familia yake. labda huyo uliyemuacha ana hayo mambo hakusema kwamba atakuwa hivyo, labda yametokea in the course of living

Iweje useme yale usiyoyatenda?
 
De Novo... I like your poetry lakini nimeongea candid truth, I did not miss the bus...labda mi ndio dereva. Lkn lazima tuwe realistic, na wakati mwingine unaweza kuona ni harsh lakini inasaidia... Kuna baadhi za tabia ndo zinawapa men a bad name or even women.

Soma kwa makini what has been put forward na mwenzetu... imenisikitisha sana. Familia, kabila, anakokaa nk. Mbona alianza hata kutoka nae if it seems it was against all odds(because the only complement ametoa ni kwa alimpenda huyo binti tu - not what she represented!)

De Novo hate my guts but I speak what is from my heart maana imenigusa.
 
De Novo... I like your poetry lakini nimeongea candid truth, I did not miss the bus...labda mi ndio dereva. Lkn lazima tuwe realistic, na wakati mwingine unaweza kuona ni harsh lakini inasaidia... Kuna baadhi za tabia ndo zinawapa men a bad name or even women.

Soma kwa makini what has been put forward na mwenzetu... imenisikitisha sana. Familia, kabila, anakokaa nk. Mbona alianza hata kutoka nae if it seems it was against all odds(because the only complement ametoa ni kwa alimpenda huyo binti tu - not what she represented!)

De Novo hate my guts but I speak what is from my heart maana imenigusa.
actually i like your guts, coz i believe in discussions and open minds!!! I am glad you have put it the way did but mind you that our forum has different people with different background more so with different level of understanding, yet great in thinking

There is a say somewhere which says "if dont like my cooking, lower you standard"

Thanks Driver!!!😀 I am right "behind" you.. enjoying your ride😱
 
Theodora;
Great thinkers dont judge
great thinkers dont accuse
great thinkers think!
Great thinkers understand

Great thinkers advice
Great thinkers help
great thinkers are JF members
If think we are not, then congrats...
You could be a great sinker

i say this simply because you have missed the bus
i remember once my bro bluray told me
you have to approach and understand

My advice to you
rather than criticising the forum or mtoa mada
tusaidie na sisi kuwa great thinker kama wewe theodora!!!

A great thinker help other, transfer you qualities and skills rather than keeping to your self
Shairi zuri sana DN hadi nimekutwanga na thanks mdau wa JF

Ngoja nami niongeze kiduuuchu

JF members wako makini
Siku zote sahihi
ila sio kama Masihi
Toa zako hoja
Acha vyako viroja
 
Ujumbe umefika ingawa shairi lako halina vina.
Mtafute ukimpata umwambie kwa kina.
Pole kwa hayo maisha
Ila acha kututisha.
 
Nakuunga mkono, as long as we live ukamilifu haupo.

Vipi wewe wataka wenzio awe mkamilifu? kama ulivyosema ulimpenda yeye, unamwacha ungali unampenda kwa sababu ya mapungufu aliyonayo i.e maisha yake ya nyuma, anapoishi na familia yake. labda huyo uliyemuacha ana hayo mambo hakusema kwamba atakuwa hivyo, labda yametokea in the course of living

Iweje useme yale usiyoyatenda?

now we can discuss. kwa kuwa mi si mkamilifu basi niukubali udhaifu wa mwingine kama msalaba wangu? only JESUS did that for us.



hii nukuu nayo ina uzito wake
usitake kujua undani zaidi ila yatafakari haya kwa sasa.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom