IAA special thread

IAA special thread

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
973
habari wana jamvi, kuna uzi umewekwa jana na mkuu Mhere Mwita kiukweli uzi wake umenikumbusha mengi sana ukizingatia na mimi nimepitia hapo IAA. so lengo la uzi huu kama wewe umepitia IAA tafadhali karbu uchangie chochote unachokumbuka ukiwa hapo IAA enzi zako, Binafsi siku ambayo sitoisahau ni pale tulipovamiwa na majambazi wakati tukiwa HOSTEL, majombaa yalikomba kuanzia simu, laptops na fedha , tunamshukuru mungu hakuna mtu ambaye aliumizwa je wewe unakumbuka nn.............krb!!!
 
Back
Top Bottom