Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye wivu wajinyonge. Wenye roho za kichawi wameze wembe.
![]()
Sawa, umesikia Raila Odinga kafukuzwa kama Mbwa mwizi huko kijijini Thika?
60000 (seats) capacity.Uwanja wa Kasarani hauna uwezo wa kubeba watu wote hao...huo ni uongo wa Mchana...
Uwanja wa Kasarani hauna uwezo wa kubeba watu wote hao...huo ni uongo wa Mchana...
Kama huo uwanja una capacity ya watu 60000 basi uwanja wa Taifa Dar una capacity ya watu 600,00060000 (seats) capacity.
Kasarani Sports Centre ni kubwa, haikujaa hata.
Safaricom Stadium (Main Stadium Kasarani) – StadiumDB.com
Labda unaiconfuse na Nyayo Stadium ambayo ni 38000 capacity.
Kama huo uwanja una capacity ya watu 60000 basi uwanja wa Taifa Dar una capacity ya watu 600,000
Where are the 60K seats from this beautiful Jurassic Gofu.60000 (seats) capacity.
Kasarani Sports Centre ni kubwa, haikujaa hata.
Safaricom Stadium (Main Stadium Kasarani) – StadiumDB.com
Labda unaiconfuse na Nyayo Stadium ambayo ni 38000 capacity.
Hilo Gofu halina Viti, linaweza jaza hadi 250,000Uwanja wa Kasarani hauna uwezo wa kubeba watu wote hao...huo ni uongo wa Mchana...
Hilo Gofu halina Viti, linaweza jaza hadi 250,000
Kwenye zile ngazi za zege
punguza hio kitu huwa unavuta...bangi ni mbaya...Kama huo uwanja una capacity ya watu 60000 basi uwanja wa Taifa Dar una capacity ya watu 600,000
punguza ujinga brathe..Where are the 60K seats from this beautiful Jurassic Gofu.
View attachment 543390View attachment 543391
View attachment 543393
Upo sahihi kabisa,tumelala usingizi.ndio maana sikuona mshiriki hata mmoja toka Tanzania.mambo mengine yanaudhi sana,kwamba hatuna vijana wa kupeleka kushiriki au budget haikuwepo!?Ndo maana linapiga hosting international moja hadi ingeni Subiri likisha piga international Hosting kama mia moja, Taifa Stadium pia itapata moja 2050!! Hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh. Why Always Kenya!! Remember CHAN is coming and we bid for Commonwealth Games, Then Olympics. We are the People! It is in Us always
Wabongo tuliwaachia mdomo na matusi. Huku kazi tu!!
The world is always happy when in Nairobi
View attachment 545778
mara ya kwanza mtanzania akaongea mambo ya maana....wenzako ni ushabiki wa kipumbavu tu...asante....wenzako wanasema tz haikuja michezoni eti kwasababu ya ugaidi...hehe, mimi nataka niwaulize, mbona huwa hampeleki wanariadha nchi zingine? mfano sikuwaona watz Brazil wakati wa Olympics...ina maana mliogopa ugaidi pia? heheUpo sahihi kabisa,tumelala usingizi.ndio maana sikuona mshiriki hata mmoja toka Tanzania.mambo mengine yanaudhi sana,kwamba hatuna vijana wa kupeleka kushiriki au budget haikuwepo!?
Hatupo serious kabisa na michezo,tunasindikiza tu!