pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wenyewe pia wanataka wanariadha wao washinde tuzo hilo, ila pia mwaka huu wakimnyima Kipchoge itakuwa too bad. Kura zinazopigwa zinasimamia uamuzi kwa 50%, hapo pengine wanajiamulia IAAF Council.We need to vote Kipchoge.Niliona Wazungu nikama wako na Uwivu na sisi.
Very nice, wakenya tunafaa tu'concentrate' na Eliud Kipchoge, wakenya wa Jf kura zilianza kupigwa wiki hii, fanyeni kweli, kwenye twitter, fb n.k.na nikama kipchoge atachukua...tayari anaongoza kwenye voting having garnered 23,000 votes worldwide...wa pili ana 18,000 votes na wa tatu ana 11,000 votes
Nina allergy na fb, ninge vote for kipchoge! Wish him all the bestWao wenyewe pia wanataka wanariadha wao washinde tuzo hilo, ila pia huu mwaka wakimnyima Kipchoge itakuwa too bad. Kura zinazopigwa zinasimamia uamuzi kwa 50%, hapo pengine wanajiamulia IAAF Council.
Very nice, wakenya tunafaa tu'concentrate' na Eliud Kipchoge, wakenya wa Jf kura zilianza kupigwa wiki hii, fanyeni kweli, kwenye twitter, fb n.k.
Twitter pia, sio Fb tu, kwa ma'under 18', link za kupiga kura zipo kwenye mitandao ya kijamii karibia yote.Nina allergy na fb, ninge vote for kipchoge! Wish him all the best
ooooh niiice...sikujua taratibu zinazofatwa huwa hivi....ila bado naona akishinda tuzo hii kipchogeWao wenyewe pia wanataka wanariadha wao washinde tuzo hilo, ila pia huu mwaka wakimnyima Kipchoge itakuwa too bad. Kura zinazopigwa zinasimamia uamuzi kwa 50%, hapo pengine wanajiamulia IAAF Council.
Very nice, wakenya tunafaa tu'concentrate' na Eliud Kipchoge, wakenya wa Jf kura zilianza kupigwa wiki hii, fanyeni kweli, kwenye twitter, fb n.k.
Haina presha, kila mtu na nyota yake, ila wakenya, na yeyote yule mwingine atakayependezwa, tunafaa tumpige Eliud Kipchoge kura kwa wingi.I forgot my twitter password.
Wabongo na wivu wao hawawezi vote for a Kenyan
Leo wamemtangaza kama UN Person of The Year. Nadhani hilo pia linafaa kuchukuliwa maanani kwenye tuzo hizi za IAAF.ooooh niiice...sikujua taratibu zinazofatwa huwa hivi....ila bado naona akishinda tuzo hii kipchoge
I forgot my twitter password.
Wabongo na wivu wao hawawezi vote for a Kenyan
Itakuwa jambo nzuri hiyo siku ikifika ila hapa tunaongea kuhusu wanariadha bora duniani, kumi kwa wanaume na kumi kwa wanawake, waliochaguliwa na IAAF kujinyakulia tuzo za mwanariadha bora duniani 2018. Bofya kwenye hizo link za IAAF ujione mwenyewe kwamba hao wanariadha nne wa Kenya hakuna hata mmoja ambaye hajashinda mbio/marathon kadhaa kote duniani na pia kwamba wote hapo tayari ni IAAF Diamond League Champions kwenye mbio tofauti ambazo huwa wanashiriki.Umeona hapo juu tunangojea mkimbiaji marathon bora toka Tanzania kwa jina Augustino Sulle, huyo ni mahiri sana na si muda mrefu atatawala kurasa za mbele za magazine zote zinazofuata wakimbiaji tajwa wa IAAF .
Hahaa! [emoji1] Waambie waeke siasa kando kwanza.Wacha tukimbishane na wanachadema hadi kieleweke.
I will!! Cause I can!I forgot my twitter password.
Wabongo na wivu wao hawawezi vote for a Kenyan
Wakenya, voting closes on 16th November. One like on FB or one retweet on Twitter= One vote. Keep your eyes open.
Kawaida yao, kwenye riadha na raga huwa hawapendi kuona waafrika wakiwatoa kijasho. Kura zikimaliza kupigwa ndio utaona rangi zao kamili.Fb tushapiga. But Africans are not giving us enough support. Americans Wako na uwivu mingi sana pia.