Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
ndio maana huwa tunawaambia nyinyi ni mazumbukuku kila uchao..hata kitu simple hamwelewi...wewe unaelewa marketing?....Sportpesa ilileta Everton TZ ili kumarket kampuni hio nchini humo...tayari Kenya ikona watumizi wengi sana...hii ni njia ya upanuzi...tumia akili hata kidogo tu my frend...next time the company will take another team to Nigeria or SA...does this now mean that there is a problem in East Africa??? smhTulia dawa ikuingiee..hiyo kampuni ya kikenya imemleta Rooney East Africa sawaa..lakin kwanini isimlete Kenya na ikawa Tanzania?
Babako akipeleka mgeni wake kwa jirani eti kisa hana nyumba nzuri ni aibu kwako pia.
this is what we are enjoying ...women in tight panties...wakati nyie jamaa sijui ni shoga anataka kumbaka Rooney katikati ya uwanja...aibu iliyoje!
iyo ni yako...kenyan ladies are very beautiful...Na dada zenu walivyo na sura na miili ya kiume ,basi haja zenu mnamalizia hapo Kasarani
Sawa 'my frend' kwahiyo hapa unaona natumia nyingi au?ndio maana huwa tunawaambia nyinyi ni mazumbukuku kila wakati...Sport pesa ilileta Everton TZ ili kumarket kampuni hio...tayari Kenya ikona watumizi wengi...hii ni njia ya upanuzi...tumia akili hata kidogo tu my frend...
Hahaha hatimaye mmeona wanawake kwa mara ya kwanza Kenya sababu wote Kenya ni wanaume tena wana sura nzito kama wanakamuliwa jipu la tako, the so called wanawake wanatembeza kichapo kwa waume zao kama mgambo wa wanyama porithis is what we are enjoying ...women in tight panties...wakati nyie jamaa sijui ni shoga anataka kumbaka Rooney katikati ya uwanja...aibu iliyoje!
Tulia weee dawa ikoleee gormaia wewe
Msijali wakenya Sio Shida yetu
πππunlike idle tanzanians, Kenyans have things to do bana.....!
Katika masuala ya usalama, ukiona Marekani wanapaogopa mahala kwamba hapako salama kuishi, inabidi ujiongeze fasta hawa wenzetu wapo vizuri sana kiintelijensiaMarekani na nchi zingine
Kujiondoa Kuhofia usalama kwa Wachezaji wake
kume Ongeza kudoda kwake