IAAF yadorora huko Nairobi

IAAF yadorora huko Nairobi

Tulia dawa ikuingiee..hiyo kampuni ya kikenya imemleta Rooney East Africa sawaa..lakin kwanini isimlete Kenya na ikawa Tanzania?

Babako akipeleka mgeni wake kwa jirani eti kisa hana nyumba nzuri ni aibu kwako pia.
ndio maana huwa tunawaambia nyinyi ni mazumbukuku kila uchao..hata kitu simple hamwelewi...wewe unaelewa marketing?....Sportpesa ilileta Everton TZ ili kumarket kampuni hio nchini humo...tayari Kenya ikona watumizi wengi sana...hii ni njia ya upanuzi...tumia akili hata kidogo tu my frend...next time the company will take another team to Nigeria or SA...does this now mean that there is a problem in East Africa??? smh
 
96a9231a0c82f7179974e4669b50cf64.jpg


Msijali wakenya Sio Shida yetu
 
ndio maana huwa tunawaambia nyinyi ni mazumbukuku kila wakati...Sport pesa ilileta Everton TZ ili kumarket kampuni hio...tayari Kenya ikona watumizi wengi...hii ni njia ya upanuzi...tumia akili hata kidogo tu my frend...
Sawa 'my frend' kwahiyo hapa unaona natumia nyingi au?

Sasa kama mnatambua kwamba lengo la sportpesa lilikua ni hilo kiwivu ushuzi kinatoka wapi? Why mdanganye ulimwengu kwamba mechi ilichezwa Nairobi City stadium

Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
 
this is what we are enjoying ...women in tight panties...wakati nyie jamaa sijui ni shoga anataka kumbaka Rooney katikati ya uwanja...aibu iliyoje!
images
Hahaha hatimaye mmeona wanawake kwa mara ya kwanza Kenya sababu wote Kenya ni wanaume tena wana sura nzito kama wanakamuliwa jipu la tako, the so called wanawake wanatembeza kichapo kwa waume zao kama mgambo wa wanyama pori
 
when Uhuru Kenyatta and his deputy hold a rally at Kasarani...mambo huwa hivi
14183928_280632202321651_3551053241260958632_n.jpg
 
Marekani na nchi zingine
Kujiondoa Kuhofia usalama kwa Wachezaji wake
kume Ongeza kudoda kwake
Katika masuala ya usalama, ukiona Marekani wanapaogopa mahala kwamba hapako salama kuishi, inabidi ujiongeze fasta hawa wenzetu wapo vizuri sana kiintelijensia
 
this is how kenyan fans go for a rugby match...number one in East Africa...hakuna wakutu tikisa
safaricom+sevens+239.jpg
 
Back
Top Bottom