Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
hehe!!! hata mngewaleta wangelambishwa sakafu na wakenya kwa uwanja...yaani hata hamwezi 100 metres? mna mambo nyie waswahili....nimeona mganda na mhabeshi wamepata nishati lakini kuja tu kwa mtz....duh! hata nishati ya mbao hamna...lol!Nope idara ya usalama wa taifa imewapiga marufuku the terrorism hotbed sio salama kwa raia wetu ukizingatia saivi njaa huko ni kali wananchi mnakula mahindi ya mifugo ya msaada from Mexico, we skip.
Hahaha hichi ndio kichaka cha kuwatetea wanaume wenzenutumia akili wewe....nani amesema....besides, beauty lies in the eyes of the beholder...
nakuelewa...waswahili sijui ni nini...nilidhani mnawamaasai kule...hao pia hawawezi mbio?Unataka tukimbie nini ndugu yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatujui kukimbia kimbia
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
kweli hapo....Diamond na Kiba wana fans wengi sana humu nchini...sikatai...But u have time to attend Diamond n Ali Kiba concerts! I swear Diamond's concerts in Nairobi pull a larger crowd than that..
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
unlike idle tanzanians, Kenyans have things to do bana.....besides, such games dont have high attendance, just check the previous games that took place in Poland and The Bahamas...even in London...just a few ppl in the field...we dont get overexcited because of youth games...mtu anawacha kazi yake kuenda kasarani..hehe...plus the thing is being viewed in SuperSport...kumalizia, hatuskii wivu...hatuwezi tukaskilia wivu nchi iliyo nyuma yetu...nchi LDC...tunafurahi sana kampuni yetu ya kikenya imeweza kuleta Rooney EA...fikiria kama sio sportpesa, which tz company has that muscle power..LOL!!!!
Rooney hata Bombadier hawez akapanda!!!
hatuwezi[emoji23] [emoji23] [emoji23] hatuoni faidanakuelewa...waswahili sijui ni nini...nilidhani mnawamaasai kule...hao pia hawawezi mbio?
Tunatumia asilimia moja tu lakin mnalia lia hiv je sasa tukitumia asilimia tatu tu itakuaje??
Msijali wakenya Sio Shida yetu
Kwahiyo hawa wanawake ni wazuri kwa huko Kenya?
this is what we are enjoying ...women in tight panties...wakati nyie jamaa sijui ni shoga anataka kumbaka Rooney katikati ya uwanja...aibu iliyoje!
ingekua ni mechi ya Barcelona kule Kasarani, ama Gor vs AFC...ungepata field imejaa...ama ingekua ni rally ya Uhuru Kenyatta ama Raila Odinga, hakungekua na nafasi...sasa nikuulize, wakati Gor wanapocheza, watu huwa hawaogopi Alshabaab? Lol! poor reasoning from a LDC citizen...
Kwahiyo tatizo ni fanbase na sio Wakenya kuwa busy! [emoji23] mimi naongezea na umaskini pia, as majority of u can't afford ticket price!kweli hapo....Diamond na Kiba wana fans wengi sana humu nchini...sikatai...
Duniani mwanadamu hutumia asilimia 8% ....lakini mtu anatumia 1% hutoa vijisababu kama hii yakoTunatumia asilimia moja tu lakin mnalia lia hiv je sasa tukitumia asilimia tatu tu itakuaje??
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Yes Cause as you all know Athletics is not really an all Kenyan affair but music is we Brought up Both Ali Kiba and Diamond and Vanesa Mdee all have catapulted to success in KenyaBut u have time to attend Diamond n Ali Kiba concerts! I swear Diamond's concerts in Nairobi pull a larger crowd than that..
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Usipanic lakin tafiti zenu zinasema nyie mnatumia % ngapi?? Ya akili zenu??Duniani mwanadamu hutumia asilimia 8% ....lakini mtu anatumia 1% hutoa vijisababu kama hii yako
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Sawa baba Si Juzi ndio mlichinjana mwanza Kwa masjid bila sababuNope idara ya usalama wa taifa imewapiga marufuku the terrorism hotbed sio salama kwa raia wetu ukizingatia saivi njaa huko ni kali wananchi mnakula mahindi ya mifugo ya msaada from Mexico, we skip.
Nonsensethis is what we are enjoying ...women in tight panties...wakati nyie jamaa sijui ni shoga anataka kumbaka Rooney katikati ya uwanja...aibu iliyoje!
Usijikaze famhata mchina akizungumza Kiingereza ana lafudhi ya Kichina...the same happens to Russians, Germans and the French...sasa hio mbona jambo ndogo sana...bora tu ueleweke...
Sure ...better that than the bearded bleached women i saw everywhere in DarKwahiyo hawa wanawake ni wazuri kwa huko Kenya?