IAAF yadorora huko Nairobi

IAAF yadorora huko Nairobi

Wa nilikua na watch... What a night! Damn that was good, pia kuna ile 400m silver hata hatukitarajia..... Ma fans nao leo walikua wameongezeka, kesho sato ndo itakua full (I hope) ile stadium ni kubwa sana, hata watu wakiwa 10,000 bado stadium inakaa empty ... Kesho na kesho kutwa ndo kuna medals nyingi za kenya, hapo ndo tutanyamazisha hizo nchi 131 zote!
 
Let me put this thread to sleep

Geza Ulole
3f57fc82e330df9f6ad045d2aac58d77.jpg
8c5a14cb45844f105cc37673a4211621.jpg
5467373dab675964591fdd783919d304.jpg
 
Mtatiiii....ni friday hii sio LCD hatuko wiki mzima lakini wikendi tuna tmTURRRRN UP KA SHIET

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Hatuitaji utafiti

Mombasa ikikaa hvi

105764396ed6fa694fb4cb139d26b4e3.jpg

790a1bf558b4c4c1a3595083f72fb8ed.jpg
3efee6e98e443f5ceb1c189e79d76227.jpg


Nairobi kukikaa hivi
6e4779663938767e0830019222139ff7.jpg
488f99b820ba18220f4a92cecb0db2c6.jpg
3846d5c8e9ee4ececa07fb92e809bad7.jpg
2c923de7738130b7cdb580247666a6b6.jpg


Na Wakenya wakikaa hvi
7eadc5798228281ff3710348f41f80b1.jpg
e64afca2d2c1e95df481f3d515ca90b7.jpg
3cc51e5d0cbdaa6acabfbe7714fd1634.jpg
0900cb937ca5a36ab64b0486dbe9b608.jpg
09d15cdea623acba0a686dfe491d0673.jpg
40580881d184056f5aa112e8f2684793.jpg
9c91f24e3a6615808c06c3daeb7d0a68.jpg


Sihitaji Kujua asilimia

Machafuko ya Jaluo vs Kikuyu mwezi ujao yataondoa taswira ya haya yote, nasubiri mpambano kwa hamu
 
unlike idle tanzanians, Kenyans have things to do bana.....besides, such games dont have high attendance, just check the previous games that took place in Poland and The Bahamas...even in London...just a few ppl in the field...we dont get overexcited because of youth games...mtu anawacha kazi yake kuenda kasarani..hehe...plus the thing is being viewed in SuperSport...kumalizia, hatuskii wivu...hatuwezi tukaskilia wivu nchi iliyo nyuma yetu...nchi LDC...tunafurahi sana kampuni yetu ya kikenya imeweza kuleta Rooney EA...fikiria kama sio sportpesa, which tz company has that muscle power..LOL!!!!
Rooney hata Bombadier hawez akapanda!!!
SportPesa is not Kenyan,may be from geographical point of view.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
unlike idle tanzanians, Kenyans have things to do bana.....besides, such games dont have high attendance, just check the previous games that took place in Poland and The Bahamas...even in London...just a few ppl in the field...we dont get overexcited because of youth games...mtu anawacha kazi yake kuenda kasarani..hehe...plus the thing is being viewed in SuperSport...kumalizia, hatuskii wivu...hatuwezi tukaskilia wivu nchi iliyo nyuma yetu...nchi LDC...tunafurahi sana kampuni yetu ya kikenya imeweza kuleta Rooney EA...fikiria kama sio sportpesa, which tz company has that muscle power..LOL!!!!
Rooney hata Bombadier hawez akapanda!!!
lol. while you have the highest rate of unemployment in the world.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Watu wanakuja kutalii Kenya but hatuwezi watajataja kama nyie

sent from iPhone 7
Nani hao Kenya hii-hii tunayoijua sisi ya kulazimisha Angela Jolie's UN Ambassadorial mission to fight violence against women kuwa touristic vacation! I tell u If if Kenyans were to shut ur mouth on such happening hell would break loose [emoji23] !

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
He he heeeee! Now i get your point!


Kumbe mashindano yamedorora kwa sababu sisi wakubwa zenu hatupo![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Well boys, we have heard you! Next time we'll consider you opinions and participate fully!




A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
ujinga kumbe ni ugonjwa...LDC pia ni ugonjwa...why do I even bother with these fools? hehe😀😀😀
 
ujinga kumbe ni ugonjwa...LDC pia ni ugonjwa...why do I even bother with these fools? hehe😀😀😀
Sindano imekaa sawa sawa! hiyo inaitwa intravenous injection!

See you amigo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Sindano imekaa sawa sawa! hiyo inaitwa intravenous injection!

See you amigo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
whatever makes u sleep well tonight..
 
Back
Top Bottom