IAAF yadorora huko Nairobi

IAAF yadorora huko Nairobi

Rugby-fans.jpg
 
unlike idle tanzanians, Kenyans have things to do bana.....besides, such games dont have high attendance, just check the previous games that took place in Poland and The Bahamas...even in London...just a few ppl in the field...we dont get overexcited because of youth games...mtu anawacha kazi yake kuenda kasarani..hehe...plus the thing is being viewed in SuperSport...kumalizia, hatuskii wivu...hatuwezi tukaskilia wivu nchi iliyo nyuma yetu...nchi LDC...tunafurahi sana kampuni yetu ya kikenya imeweza kuleta Rooney EA...fikiria kama sio sportpesa, which tz company has that muscle power..LOL!!!!
Rooney hata Bombadier hawez akapanda!!!
Ulivyoandika kiswahili kibovu hapa haimaanishi kwamba wewe ni mtu duni, lakini Mtanzania akiandika kiingereza kibovu mnahitimisha kwamba ni mtu duni, mkisahau kwamba hata Rais wa China ni mbovu sana katika kiingereza lakini siyo mtu duni kama Njoroge
 
Nimeona wachezaji wa Uganda, SA, Morocco, Ethiopia, Zambia, Zimbabwe, Gambia etc...ila sijamwona mtz hata mmoja,...pathetic fools who cant even run...
 
Ulivyoandika kiswahili kibovu hapa haimaanishi kwamba wewe ni mtu duni, lakini Mtanzania akiandika kiingereza kibovu mnahitimisha kwamba ni mtu duni, mkisahau kwamba hata Rais wa China ni mbovu sana katika kiingereza lakini siyo mtu duni kama Njoroge
Kiswahili wakenya hawakizungumzi sana...umesahau nyie mnapoandika Kiingereza cha kustaajabisha? lol! hebu niandikie sentensi moja nione...sasa usitumie lugha kujaribu kukejeli wakenya kwani pia mimi naweza nikakuaibisha hapa...angalia hapa chini mwenzenu...
Diamond Platnumz poor English shocks the nation — Blizz Uganda
 
Kiswahili wakenya hawakizungumzi sana...umesahau nyie mnapoandika Kiingereza cha kustaajabisha? lol! hebu niandikie sentensi moja nione...sasa usitumie lugha kujaribu kukejeli wakenya kwani pia mimi naweza nikakuaibisha hapa...angalia hapa chini mwenzenu...
Diamond Platnumz poor English shocks the nation — Blizz Uganda
Kwani nani kakwambia English ndio mnajua, labda English ya kikikuyu au English ya kijaluo ugliest tribal pronunciation in English lini Mzungu akaongea kama mjaluo au mkalenji hahaha
 
Kwani nani kakwambia English ndio mnajua, labda English ya kikikuyu au English ya kijaluo ugliest tribal pronunciation in English lini Mzungu akaongea kama mjaluo au mkalenji hahaha
hata mchina akizungumza Kiingereza ana lafudhi ya Kichina...the same happens to Russians, Germans and the French...sasa hio mbona jambo ndogo sana...bora tu ueleweke...
 
USA ndio nchi pekee yake duniani? wacha kulamba matako ya wazungu ww..nyie ndio wale wakimwona mzungu wanaanza kumfata fata kana kwamba ni malkia kisha wanaanza kumbusu miguu....tunafurahi kwa kuwaona Slovenians, Germans, Chinese, French etc...pamoja na waafrika wengine...130 countries in attendance, so USA haitubabaishi!!!
 
Uwanja wa kimataifa.
Tz Baiby[emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Kiswahili wakenya hawakizungumzi sana...umesahau nyie mnapoandika Kiingereza cha kustaajabisha? lol! hebu niandikie sentensi moja nione...sasa usitumie lugha kujaribu kukejeli wakenya kwani pia mimi naweza nikakuaibisha hapa...angalia hapa chini mwenzenu...
Diamond Platnumz poor English shocks the nation — Blizz Uganda
Hujanielewa mimi nimesema umeandika kiswahili kibovu lakini hii haimaniishi kwamba wewe ni mtu duni kama inavyodaiwa na baadhi ya mapunguani wa Kenya kwamba Mtanzania ni mtu duni kwasababu kingereza chake kibovu, Lugha siyo kipimo cha uwezo wa mtu, kwenye kishule changu cha chekechea niliajiri wakenya kadhaa kwasababu wanaweza kuongea kiingereza vizuri na walikubali mshahara mdogo, hata mimi wamenizidi kuongea kiingereza lakini ndiyo walikua wananitegemea niwape mshahara ili waweze kuendesha familia zao
 
Nimeona wachezaji wa Uganda, SA, Morocco, Ethiopia, Zambia, Zimbabwe, Gambia etc...ila sijamwona mtz hata mmoja,...pathetic fools who cant even run...
Nope idara ya usalama wa taifa imewapiga marufuku the terrorism hotbed sio salama kwa raia wetu ukizingatia saivi njaa huko ni kali wananchi mnakula mahindi ya mifugo ya msaada from Mexico, we skip.
 
Hujanielewa mimi nimesema umeandika kiswahili kibovu lakini hii haimaniishi kwamba wewe ni mtu duni kama inavyodaiwa na baadhi ya mapunguani wa Kenya kwamba Mtanzania ni mtu duni kwasababu kingereza chake kibovu, Lugha siyo kipimo cha uwezo wa mtu, kwenye kishule changu cha chekechea niliajiri wakenya kadhaa kwasababu wanaweza kuongea kiingereza vizuri na walikubali mshahara mdogo, hata mimi wamenizidi kuongea kiingereza lakini ndiyo walikua wananitegemea niwape mshahara ili waweze kuendesha familia zao
kwa hili, nakubaliana na wewe asilimia 100....lugha bora tu ueleweke...
 
unlike idle tanzanians, Kenyans have things to do bana.....besides, such games dont have high attendance, just check the previous games that took place in Poland and The Bahamas...even in London...just a few ppl in the field...we dont get overexcited because of youth games...mtu anawacha kazi yake kuenda kasarani..hehe...plus the thing is being viewed in SuperSport...kumalizia, hatuskii wivu...hatuwezi tukaskilia wivu nchi iliyo nyuma yetu...nchi LDC...tunafurahi sana kampuni yetu ya kikenya imeweza kuleta Rooney EA...fikiria kama sio sportpesa, which tz company has that muscle power..LOL!!!!
Rooney hata Bombadier hawez akapanda!!!
But u have time to attend Diamond n Ali Kiba concerts! I swear Diamond's concerts in Nairobi pull a larger crowd than that..

Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
 
Nimeona wachezaji wa Uganda, SA, Morocco, Ethiopia, Zambia, Zimbabwe, Gambia etc...ila sijamwona mtz hata mmoja,...pathetic fools who cant even run...
Unataka tukimbie nini ndugu yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatujui kukimbia kimbia

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom