Ianzishwe Bodi ya Wahandisi wa TEHAMA

Ianzishwe Bodi ya Wahandisi wa TEHAMA

dndagula

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
1,602
Reaction score
1,650
Kutokana na maendeleo ya TEHAMA nchini na azma ya Serikali kuendeleza teknolojia ya TEHAMA nchini kwa kuwatambua wataalamu wa tehama nashauri kama ilivyo kwa wahasibu ianzishwe Bodi inayosimamia maendeleo ya sekta hii.

Rais katika hotuba yake ya ufunguzi wa Bunge la 12 ameonnyesha nia ya kuendeleza sekta hii kwa kasi na umakini mkubwa ili teknolojia hii ichangie kwenye maendeleo ya nchi kwa kasi kubwa.

Huu ni ushauri tu.
 
Wazo zuri sana inabidi wahusikia (Waandisi wa TEHAMA) wao kwanza waanzishe umoja waungane au chama na wakishajuana waende hatua nyingine ya kuanzisha bodi yao
 
Wazo safi kabisa hili. Mhe wazir husika alifanyie kazi maana wataalam wa hio sector ni kama wamesahaulika
 
Shida ni kwamba tehama inakua kwa kasi sana na wanaosababisha ikue kwa kasi hawana certification.Ila ni kupenda kwao kujituma na kujifunza.Ukianza bodi watataka wenye vyeti alaf ujuzi hawana.Sekta itarudi kuzorota.Labda bodi iangalie ujuzi na siyo vyeti
 
Shida ni kwamba tehama inakua kwa kasi sana na wanaosababisha ikue kwa kasi hawana certification.Ila ni kupenda kwao kujituma na kujifunza.Ukianza bodi watataka wenye vyeti alaf ujuzi hawana.Sekta itarudi kuzorota.Labda bodi iangalie ujuzi na siyo vyeti
Na hili ni kwanini mkuu yani inanishangaza kuna watu wana ujuzi mkubwa sana kuliko wenye vyeti vyao
 
Kutokana na maendeleo ya TEHAMA nchini na azma ya Serikali kuendeleza teknolojia ya tehama nchini kwa kuwatambua wataalamu wa tehama nashauri kama ilivyo kwa wahasibu ianzishwe Bodi inayosimamia maendeleo ya sekta hii.

Rais katika hotuba yake ya ufunguzi wa Bunge la 12 ameonnyesha nia ya kuendeleza sekta hii kwa kasi na umakini mkubwa ili teknolojia hii ichangie kwenye maendeleo ya nchi kwa kasi kubwa.

Huu ni ushauri tu.
TEHAMA misingi yake ni katika mahesabu na logic.

Hivyo basi inaweza kuwa si uhandisi per se kama tunavyo ufahamu uhandisi.

Hiyo ninkatika software.

Katika hardware sijui ni kwa vipi utaikwepa bodi ya uhandisi.
 
Bodi ya tehama imeanzishwa muda mrefu sana mkuu kama ulikuwa haujui, nimejiunga uko mwaka jana. Ada ya kuomba ni elfu 20000, wakisha kupitisha kuna michango ya kuchangia kulingana na category ulioomba


Unaweza kutmebembelea https://www.ictc.go.tz/
 
Wataweka na mitihani ya bodi....kama ile ya bodi ya uhasibu hadi kufikia CPA?
Sasa huku sijui mtaitaje? au mtaita certified IT professional CIP?
 
Bodi ya tehama imeanzishwa muda mrefu sana mkuu kama ulikuwa haujui, nimejiunga uko mwaka jana. Ada ya kuomba ni elfu 20000, wakisha kupitisha kuna michango ya kuchangia kulingana na category ulioomba


Unaweza kutmebembelea https://www.ictc.go.tz/
Faida ya kusajiliwa huko ni zipi ndugu?

Nataka nijue kama kuna ulazima wa kutoa pesa kujisajili huko.
 
Bodi ya tehama imeanzishwa muda mrefu sana mkuu kama ulikuwa haujui, nimejiunga uko mwaka jana. Ada ya kuomba ni elfu 20000, wakisha kupitisha kuna michango ya kuchangia kulingana na category ulioomba


Unaweza kutmebembelea https://www.ictc.go.tz/
Faida ya kusajiliwa huko ni zipi ndugu?

Nataka nijue kama kuna ulazima wa kutoa pesa kujisajili huko.
 
Kutokana na maendeleo ya TEHAMA nchini na azma ya Serikali kuendeleza teknolojia ya TEHAMA nchini kwa kuwatambua wataalamu wa tehama nashauri kama ilivyo kwa wahasibu ianzishwe Bodi inayosimamia maendeleo ya sekta hii.

Rais katika hotuba yake ya ufunguzi wa Bunge la 12 ameonnyesha nia ya kuendeleza sekta hii kwa kasi na umakini mkubwa ili teknolojia hii ichangie kwenye maendeleo ya nchi kwa kasi kubwa.

Huu ni ushauri tu.
ilishaundwa tokea 2018
 
Back
Top Bottom