sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ni kitu kinachowezekana, hasa katika hali ya sasa, Kucha za Mo zilizojificha zinaonekana hadharani.
Simba original ianzishwe kwa jina la Simba OG, timu ambayo ipo ligi kuu au imepanda inunuliwe kwa bei chee ibadilishwe jina, Mwamwedi abaki na simba yake ya kunyanyasa wafanyakazi.
Kuhusi Pesa za kuendesha club, Azam atatoa bilioni 40 kama alivyowapa yanga, Kila mwezi kuna Milioni 260 😇😇 bado pesa ya viingilio, ada za wanachama, mauzo ya jezi, sponsors, CAF, etc
Simba original ianzishwe kwa jina la Simba OG, timu ambayo ipo ligi kuu au imepanda inunuliwe kwa bei chee ibadilishwe jina, Mwamwedi abaki na simba yake ya kunyanyasa wafanyakazi.
Kuhusi Pesa za kuendesha club, Azam atatoa bilioni 40 kama alivyowapa yanga, Kila mwezi kuna Milioni 260 😇😇 bado pesa ya viingilio, ada za wanachama, mauzo ya jezi, sponsors, CAF, etc