sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Watu wa maneno tu hawaKwa maneno rahisi sana ila zikihitajika bilioni 4 za kuendesha team we utatoa sh ngapi
Anzisha. Maneno yanajenga. Ijenge. Ikitakiwa tu 1billion hapo mnaaganaNi kitu kinachowezekana, hasa katika hali ya sasa, Kucha za Mo zilizojifich zinaonekana hadharani.
Simba original ianzishwe kwa jina la Simba OG, Mwamwedi abaki na simba yake ya kunyanyasa wafanyakazi.
Ni upepo tu utapita najua watani hamsemi tena tutapiga kwenye mshono nyinyi ni Mo tu. Hamna jingine ila tuwapongeze tu kwa hili mmejitahidi.Ni kitu kinachowezekana, hasa katika hali ya sasa, Kucha za Mo zilizojifich zinaonekana hadharani.
Simba original ianzishwe kwa jina la Simba OG, Mwamwedi abaki na simba yake ya kunyanyasa wafanyakazi.
Uto...mbona mnahangaika?Ni kitu kinachowezekana, hasa katika hali ya sasa, Kucha za Mo zilizojifich zinaonekana hadharani.
Simba original ianzishwe kwa jina la Simba OG, Mwamwedi abaki na simba yake ya kunyanyasa wafanyakazi.
Kuhusi Pesa za kuendesha club, Azam atatoa bilioni 40 kama alivyowapa yanga, Kila mwezi kuna Milioni 260 ππ bado pesa ya viingilio, jezi, sponsors, caf, etcKwa maneno rahisi sana ila zikihitajika bilioni 4 za kuendesha team we utatoa sh ngapi
Usikute bado unakula kwenu,, umasikini kitu kibaya sana asikwambie mtuNi kitu kinachowezekana, hasa katika hali ya sasa, Kucha za Mo zilizojifich zinaonekana hadharani.
Simba original ianzishwe kwa jina la Simba OG, Mwamwedi abaki na simba yake ya kunyanyasa wafanyakazi...
Eti unadhani kila timu inapewa hizo hela..? Tafuta ule mkataba wa yanga afu utafute na wa timu kama mbeya city ufananishe afu unawaza miguuni kuipandisha liki toka cha ndimu mpaka ligi kuu isimame stable sio mchezoKuhusi Pesa za kuendesha club, Azam atatoa bilioni 40 kama alivyowapa yanga, Kila mwezi kuna Milioni 260 [emoji56][emoji56] bado pesa ya viingilio, jezi, sponsors, caf, etc
Simba halisi ianzie daraja la ngapi?Ni kitu kinachowezekana, hasa katika hali ya sasa, Kucha za Mo zilizojifich zinaonekana hadharani.
Simba original ianzishwe kwa jina la Simba OG, Mwamwedi abaki na simba yake ya kunyanyasa wafanyakazi...
Kumbe utopolo unatoa ushauri kwa mabingwa mara nne mfululizo!Simba original ianzishwe kwa jina la Simba OG, timu amayo ipo ligi kuu au imepanda inunuliwe kwa bei chee ibadilishwe jina, Mwamwedi abaki na simba yake ya kunyanyasa wafanyakazi.
Mimi ni Yanga Dam Dam, ile mshahara wa laki 7 mikia walitita aibu aisee