West Africa hukaa na marehemu hata miezi hawaziki haraka ka huku, Tena huyo Joshua wamemuwaisha mapema Sana. So ni Kama Mila zao usilaumu walokole kwa usichokijua friendWalokole watu wa ajabu sana.Ukifiwa wakija kwenye msiba wako utasikia marehemu ameishakufa hiyo ni mifupa hana connection na chochote mkazike wala hakuna kulia. Angalia sasa wao yamewakuta mpaka leo bado wanazunguka tu na maiti. Si wangemzika tu siku ile ile maisha yaendelee. Yesu alizikwa siku hiyo hiyo na akafufuka siku ya tatu huyu kakaa mwezi sasa wanaendelea kusujudu mzoga
Kwa akili za ngwajima ukute alienda kuomba ili afufuke
Ngoja wanaojua waje watoe maelekezoNi channel namba ngapi kwa dish?
Halafu wabongo wasojua mambo wanakurupuka tu kutwokwa na mapovu bila kujua kucheleshwa kuzikwa kwakwe hakuhusiani na lolote lile ndani ya ulokole wala ukristo, Bali ni tabia tu za watu wa westernGhanaians and Nigerians wanakaa na maiti hata nusu mwaka. Rafiki yangu alifiwa na mama yake mwezi wa nane, walisubiri hadi December ndio walimzika. Idk kwa nini wanafanya hivyo, labda ni sehemu ya tamaduni zao.
Mila zina nguvu kuliko ukristo?West Africa hukaa na marehemu hata miezi hawaziki haraka ka huku, Tena huyo Joshua wamemuwaisha mapema Sana. So ni Kama Mila zao usilaumu walokole kwa usichokijua friend
Mila zote na hazitakuja Kwisha duniani RC wenyewe waliingiza Mila za kwao kwenye bible,Mila ni tanaduni tu za watu wa sehemu flani and it has nothing to do with christianityMila zina nguvu kuliko ukristo?
Chanel 390 kwa DStvNgoja wanaojua waje watoe maelekezo
Sorry Mila zipi hizo?? Zilizoingizwa. Maana kwa ninavyojua historia ya uandishi wa Bible kitabu kwa kitabu na mwaka wake.. Mila za RC ziliingizwaje na mwaka gani?? Labda sijaielewa Maana ya Mila.Mila zote na hazitakuja Kwisha duniani RC wenyewe waliingiza Mila za kwao kwenye bible,Mila ni tanaduni tu za watu wa sehemu flani and it has nothing to do with christianity
Kitu pekee alichokuja kukifanya kristo ni kuleta utawala wa Mungu nakuondoa utawala wa giza ambao ndo mila pamoja na masheria ya kiyahudiMila zote na hazitakuja Kwisha duniani RC wenyewe waliingiza Mila za kwao kwenye bible,Mila ni tanaduni tu za watu wa sehemu flani and it has nothing to do with christianity
Mfano kwa familia za kimaskini Uko Ghana ama Nigeria nao pia wanaweza kufanya tamaduni kama iyo ya kukaa na maiti muda mrefu ndani ?Ghanaians and Nigerians wanakaa na maiti hata nusu mwaka. Rafiki yangu alifiwa na mama yake mwezi wa nane, walisubiri hadi December ndio walimzika. Idk kwa nini wanafanya hivyo, labda ni sehemu ya tamaduni zao.
Ingekuwa vyema ukataja kifungu cha Biblia ambacho ni ingizo la mila za RC. Tatizo mlilonalo watoto wa Kiprotestanti ni kwamba mnachosimuliwa na baba zenu basi na ninyi mnaanza kusimulia wengine. Baba zenu walilazimika kuwasimulia ninyi hivyo ili wahalalishe kujitenga kwaoMila zote na hazitakuja Kwisha duniani RC wenyewe waliingiza Mila za kwao kwenye bible,Mila ni tanaduni tu za watu wa sehemu flani and it has nothing to do with christianity
Hilo haliwezekani marehemu mwenyewe hakufa kizembe alishajua mwisho wake na akaongea kwa kufumba ,kwahiyo mtu mwenye roho wa Bwana ndani yake hawezi kujitaabisha kuomba afufuke wakati unajua unayemuomba ndio alomtwaa mtumishi wake, punguza kula kungu Kama upati matibabu sahihi ona zinavyokutuma kushambulia watu wasio na hatiaKwa akili za ngwajima ukute alienda kuomba ili afufuke
taratibu.Hilo haliwezekani marehemu mwenyewe hakufa kizembe alishajua mwisho wake na akaongea kwa kufumba ,kwahiyo mtu mwenye roho wa Bwana ndani yake hawezi kujitaabisha kuomba afufuke wakati unajua unayemuomba ndio alomtwaa mtumishi wake, punguza kula kungu Kama upati matibabu sahihi ona zinavyokutuma kushambulia watu wasio na hatia
Lakini huwa tunaambiwa na walokole kuwa ukiwa ndani ya Yesu, tamaduni za kibagani hazina nafasi tena, sasa hii ya TB Joshua inakuwaje?Halafu wabongo wasojua mambo wanakurupuka tu kutwokwa na mapovu bila kujua kucheleshwa kuzikwa kwakwe hakuhusiani na lolote lile ndani ya ulokole wala ukristo, Bali ni tabia tu za watu wa western
Alfa & Omega, lion of Judahtaratibu.
Unaongelea bwana yupi