Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kama tabia na tamaduni za kibagani zinaendelea kulindima katikati ya ukristo, nini mantiki ya Yesu kufa msalabani?Halafu wabongo wasojua mambo wanakurupuka tu kutwokwa na mapovu bila kujua kucheleshwa kuzikwa kwakwe hakuhusiani na lolote lile ndani ya ulokole wala ukristo, Bali ni tabia tu za watu wa western
Nini mantiki ya kuwafundisha watu kuishi kikristo?