Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Hii ishu ya kusali mkizunguka kitu ipo karibu katika dini zote kubwa duniani.
Wakristo hufanya hivi. Wakatoliki husali kwa kuzunguka sanamu ya Bikira Maria, Yesu, au mtakatifu mwingine. Huzunguka mara tatu kama ishara ya utatu mtakatifu.
Wabuddha na wahindu na nao husali namna hii ya kuzunguka. Wakizunguka maeneo au vitu vitakatifu.
Waislamu nao wanafanya hivi wakizunguka kaaba. Inasemwa zamani wapagani wa Maka walikuwa wakiizunguka Kaaba wakiwa uchi. Mtume akaja kukataza kitendo cha kuzunguka uchi lakini hakukataza hiyo ibada ya kuzunguka.
Wayahudi nao wana ibada ya kuzunguka. Wao huzunguka kumbukumbu la torati.
Hii ishu siyo upagani kweli?
Wakristo hufanya hivi. Wakatoliki husali kwa kuzunguka sanamu ya Bikira Maria, Yesu, au mtakatifu mwingine. Huzunguka mara tatu kama ishara ya utatu mtakatifu.
Wabuddha na wahindu na nao husali namna hii ya kuzunguka. Wakizunguka maeneo au vitu vitakatifu.
Waislamu nao wanafanya hivi wakizunguka kaaba. Inasemwa zamani wapagani wa Maka walikuwa wakiizunguka Kaaba wakiwa uchi. Mtume akaja kukataza kitendo cha kuzunguka uchi lakini hakukataza hiyo ibada ya kuzunguka.
Wayahudi nao wana ibada ya kuzunguka. Wao huzunguka kumbukumbu la torati.
Hii ishu siyo upagani kweli?