Ibada za mwezi mtukufu wa Ramadhani zazuiliwa katika msikiti wa Jerusalemu (Al-Aqsa) kutokana na mlipuko wa Covid-19


Uislamu ni imani ya kuunga unga sana . Yaani kusema alikwenda kuchukua swala tano kupitia hapo ukisoma kisa hicho utaamini ni ndoto za abunuasi.
 
Uislamu ni imani ya kuunga unga sana . Yaani kusema alikwenda kuchukua swala tano kupitia hapo ukisoma kisa hicho utaamini ni ndoto za abunuasi.
Kwani haiwezekani mkuu?,kumbuka umbali wa Hapo na mecca Ni Kama utoke dar kwenda Moro,Safari ya masaa tu
 
Kwani haiwezekani mkuu?,kumbuka umbali wa Hapo na mecca Ni Kama utoke dar kwenda Moro,Safari ya masaa tu
Ila mwenyezimungu kuwashushia wana Israel chakula kutoka mbinguni na kuwavusha bahari ya shamu uliyaamini vipi,ila unaenda amini Yesu alishushiwa kipondo msalabani ili usamehewe dhambi unazofanya leo jenga hoja kijana ili upate uelewa
 
Kwenye kumuamini Mungu tu na kuwaachia dini zao umefanya la maana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…