habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
- Thread starter
-
- #41
achana na ujingaDah natamani nikujibu lakini nakuheshimu, unajishusha na kuishusha sifa ndogo ulionayo hapa jawani. Kuniagiza mwanza niende kutizama nyaraka za vigagura muda huo hapana labda waliokudanganya waje na evidence ambayo wewe hapo huna kitu. Ungeisoma historia ya kweli ya nchi hii usingekenua. Cha mwisho jifunze kujibu hoja kwa hoja utakuwa mzuri sana
sasa kati yangu na wewe nani anaonyesha uweupe wa kichwa chake?[QUOTE="habari ya hapa, post: 19180086, member: 114221"kuileta kuonyesha weupe wako kichwani, hili jukwaa hili linaheshimika sana, hapakuwahi kuwa na mtu kama huyo. Mwambie aliekudanganya akwambie vizuri. Eti nabii ambaye hakuwahi kuandikwa.. Seriously?
ukitaka kujua zaidi nenda BujoraAlitabiri vipi?>
alisemaje?
miujiza yake ilikuwa ipi?
ndiyo unajua rafiki yangu sisi waafrika kila kitu tunataka kutendewa sisi ni bongo lala watu wakuasubiri jambo litokee na si kulifanya litokee unaweza kushuhudia mambo mengi yamefanya na watu weupe wafrika wao wapo tu , leo hii tunashuhudia mzungu anasema amegundua binadamu wa kwanza kuishi afrika hali ya kuwa na yeye ni binadamu na amewakuta binadamu , utasikia mzungu kagundua ziwa Victoria hali ya kuwa kaja kalikuta wasukuma wakiiliita NYANZA , yeye kagundua na kabadili hadi jina , leo kuna waafrika wenzetu wanasotea mwalimu nyerere kutangazwa mtakatifu na ukiwaambia wanachofanya ni ujinga wanaweza kwenda hata kortini kufungua shitaka ni shiidaMkuu Ibambangulu ingalikuwa ni kwa wazungu wangalimfanya kuwa mtume, alikuwa na maajabu makubwa sana, aliwahi kuweka maziwa fresh bila kuganda ndani ya miaka 3,
nashukuru kwa uelewa wako mkuu,ndiyo unajua rafiki yangu sisi waafrika kila kitu tunataka kutendewa sisi ni bongo lala watu wakuasubiri jambo litokee na si kulifanya litokee unaweza kushuhudia mambo mengi yamefanya na watu weupe wafrika wao wapo tu , leo hii tunashuhudia mzungu anasema amegundua binadamu wa kwanza kuishi afrika hali ya kuwa na yeye ni binadamu na amewakuta binadamu , utasikia mzungu kagundua ziwa Victoria hali ya kuwa kaja kalikuta wasukuma wakiiliita NYANZA , yeye kagundua na kabadili hadi jina , leo kuna waafrika wenzetu wanasotea mwalimu nyerere kutangazwa mtakatifu na ukiwaambia wanachofanya ni ujinga wanaweza kwenda hata kortini kufungua shitaka ni shiida
Kuku tu kumdonoa akafariki?nabii huyu wa kiafrika alikuwa na maajabu mengi sana likiwa pamoja na hili
alikuwa akiingia kwenye chumba alikuwa na uwezo wa kujaa chumba kizima na hii ilipelekea mauti yake ambapo siku moja alijaa kwenye chumba na nje kulikuwa na kuku mmoja aliyekuwa anatembea kutafuta chakula aliona kitu kama nyama na akadonoa kumbe ulikuwa mwili wa nabii huyu na hapo hapo mauti yalimfika nabiii wa kiafrika akafa akiwa ameacha maajabu mengi
Kuna mmoja anaitwa Kamanga alikua mwanza unajua habari zake?tujuze tafadhali.achana na ujinga
penda kujua asili yako
ningalikuambia kwamba kule bujora, kuna Yesu na kuna Mohamed ungelikimbia na usingelibisha kwenda kwa sababu wana rangi nyeupe, lkn unapoambiwa habari ya mtu mweusi moyo wako unasinyaa, unamwona mtu mweusi km nyani, kusinyaa kwako unajitukana wewe mwenyewe, penda kujua historia yako
kione kama kichekesho kama ungekuwepo na ukaujua ukweli lakini kwa sasa kwakua haukuwepo amini na usitaajabuKuku tu kumdonoa akafariki?
Naona kama kichekesho.
alikuwa ni mtu mashuhuriKuna mmoja anaitwa Kamanga alikua mwanza unajua habari zake?tujuze tafadhali.
alikuwa ni mtu mashuhuriKuna mmoja anaitwa Kamanga alikua mwanza unajua habari zake?tujuze tafadhali.
Kuku tu kumdonoa akafariki?
Naona kama kichekesho.
Kuku tu kumdonoa akafariki?
Naona kama kichekesho.
Unajua habari ya hapa , watu wengi wanafia dini bila kujua kwamba Biblia au Quran haziongelei dini. Kwa mtu aliyesoma biblia na akaielewa sawa sawa japo kwa asilimia hata 40 hawezi kwenda kanisani kurukaruka kama mtu aliyepagawa ati anacheza kwa jina la Yesu! Kumbuka waliomuua Yesu ni watu wa dini, na ndiyo maana mfia dini yeyote si mwerevu wa mambo ya Mungu. Mungu hana dini, dini zimewekwa na wajanja ili kuutawala ulimwengu kirahisi. Kulielewa hili, lazima usome vitabu nje ya mipaka ya dini na miiko yote!nashukuru kwa uelewa wako mkuu,
usikate tamaa kuuelimisha umma wa watanzania
ukweli halisi
Sasa kumbe ni jambo la kufikirika?Why niwaze kuwa nabii alizidisha mambo fulani yaliyomuuzi Mungu nisiwaze kuwa kuku alimdonoa baada ya kutumwa na mkuu wa wachawi?Kwani yule njiwa aliyeshuka kwa Yohana Mbatizaji alikuwa "njiwa tu"? Ile ilikuwa roho. Kwa hiyo hata huyo kuku mchukulie kama representation ya roho. Inawezekana Nabii alizidisha kujitukuza akamuudhi Mungu. Na hapo ndipo roho kwa njia ya kuku alikuja kumuua.
Naambiwa na yeye alikua mwonaji.alikuwa ni mtu mashuhuri
na moja ya bandari zilizoko katik ziwa victoria inaitwa kwa jina lake
ambapo ndipo alipokuwa akiishi
Kamanga bay,yaani tz hatuna tu kumbukumbu za kutosha,lkn Kamanga ni babu wa bibi yangu mzaa mama,nachojua khs yeye ni kidogo mno.alikuwa ni mtu mashuhuri
na moja ya bandari zilizoko katik ziwa victoria inaitwa kwa jina lake
ambapo ndipo alipokuwa akiishi
Maajabu hayakutendeka Iziraeli na Uarabuni peke yakeNaambiwa na yeye alikua mwonaji.
Archaelogists wameshindwa kuthibitisha kuwa kuliwahi kuwa na mfalme anaitwa Daudi Israel na kuwa alikua na ufalme wa level zile,hiz ni habari za kusadikika tu.Maajabu hayakutendeka Iziraeli na Uarabuni peke yake
yapo matendo makuu mengi yaliyotendeka nje ya Iziraeli na Uarabuni lkn waandishi wa misaafu hawakuiandika kwa sababu wlaikuwa wanatetea hadhi za mataifa yao
walishatuaminisha ujingaArchaelogists wameshindwa kuthibitisha kuwa kuliwahi kuwa na mfalme anaitwa Daudi Israel na kuwa alikua na ufalme wa level zile,hiz ni habari za kusadikika tu.
Sasa kwnn tunashindwa amini za kwetu.
CLEOPATRA WA MISRI YEYE ALING'ATWA NA NYOKA AKAFA HUCHEKI?Kuku tu kumdonoa akafariki?
Naona kama kichekesho.
[emoji23][emoji23] it's you guys who tell us others were eaten dead by dogsNabii aliyeuawa na kuku ???!!!!!