Hawawezi kuziacha hizi ibara za 15,16,17,18 na ishirini maana ndo zinapingana na Rushwa ambayo ndiyo mshipa wa uhai wao!
Mungu wangu! mbona mambo mazuri ndiyo yamefutwa, kulikuwa na haja gani ya kufuta ibara za 16,18,20 zinazoeleza miiko ya KIONGOZI wa umma.
Je, hili nalo lilikuwa ni MSIMAMO wa CCM kuwa hawatakati Tanzania tupate viongozi wazuri wenye miiko ya uongozi, kama ilivyokuwa msimamo wa CCM kwamba hawataki muundo wa S3?! Kweli CCM ni she.tani na ma.shetani.
Nitaipinga hii rasimu ya 3 ya katiba kwa NGUVU zangu zote, kwa AKILI zangu zote, na kwa UWEZO wangu wangu wote, ili dunia ifahamu kwamba Tanzania hatujawahi kuandika katiba ya wananchi kuliko kukubali huu uj.uha.
CCM hata kwa wale wafia chama kusema kweli mnakatisha tamaa!