Abel kaholwe
Member
- Aug 31, 2011
- 10
- 0
(1) kutakuwa na bunge la jamhuri ya muungano,
(2)wajumbe WA bunge watakuwa WA aina zifuatazo:
a)wabunge waliochaguliwa kuwakilisha majimbo ya uchaguzi
b)wabunge watano watakaoteuliwa na raisi kutoka miongoni kwa watu wenye sifa ZA kuwa wabunge kuwakilisha watu wenye ulemavu kwa kuzingatia uwiano wa washirika WA muungano.
3)kwa mujibu wa ibara ya 2(a),kila mkoa kwa upande WA Tanzania bara na wilaya kwa upande WA Zanzibar itakuwa NI jimbo la uchaguzi.
4)katika kila jimbo kutakuwa na nafasi mbili za ubunge,moja kwa ajili ya wanawake na moja wanaume
5)wabunge wote watapatikana kwa kupigiwa kura na wananchi.
###tuko tayari?
(2)wajumbe WA bunge watakuwa WA aina zifuatazo:
a)wabunge waliochaguliwa kuwakilisha majimbo ya uchaguzi
b)wabunge watano watakaoteuliwa na raisi kutoka miongoni kwa watu wenye sifa ZA kuwa wabunge kuwakilisha watu wenye ulemavu kwa kuzingatia uwiano wa washirika WA muungano.
3)kwa mujibu wa ibara ya 2(a),kila mkoa kwa upande WA Tanzania bara na wilaya kwa upande WA Zanzibar itakuwa NI jimbo la uchaguzi.
4)katika kila jimbo kutakuwa na nafasi mbili za ubunge,moja kwa ajili ya wanawake na moja wanaume
5)wabunge wote watapatikana kwa kupigiwa kura na wananchi.
###tuko tayari?