Ibenge ameshachoka na Simu za mara kwa mara za Msomali Koko

Ibenge ameshachoka na Simu za mara kwa mara za Msomali Koko

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.

Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.

Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
 
Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.

Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.

Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
1. Yanga ikifungwa;
Hawajui soka
timu haichezi kitimu
Kila mchezaji anajichezea ajuwavyo

2. Yanga ikishinda
Bahasha
tiGo pesa
Marefa wamehongwa
GSM anadhamini timu nyingi
wale ni tawi la Yanga
Hawa si wale wa zamani
etc..

Ulichokiandika ni maandalizi tu ya kuendeleza umbumbumbu, ungada, udunduka na umakolo wenu wa kila Yanga inaposhinda.
 
Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.

Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.

Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
Wewe waandae wenzako kisaikolojia nadhani unajua kinachoenda kutokea unajizima data tu,,yanga aliyekutana na Al hilal mechi ya kwanza pale kwa mkapa akiwa unga sio yanga hii ya sasa hivi,,pamoja na kuwa unga kipindi kile bado nafasi zilitengenezwa ikashindwa kuzitumia,,sasa yanga hii gari lishawaka na unajua hizo point ni muhimu kwa yanga jiandae kuja na comedy nyingine jumatatu!
 
Kama umetoka kifungoni hongera. Ulifunguwa kipindi kibaya sana..

Hebu anza na Siasa Ya Tanzania.
Ni Mwendawazimu na Mpumbavu tu pekee ndiyo atapoteza muda wake Kuhangaika au Kujishughulisha na 'Siasa Takataka' za Tanzania na kwa bahati nzuri Mimi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" siyo miongoni Mwao.
 
Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.

Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.

Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
Eti nimeota yanga kashinda mbili. Ndoto mbaya hii
 
1. Yanga ikifungwa;
Hawajui soka
timu haichezi kitimu
Kila mchezaji anajichezea ajuwavyo

2. Yanga ikishinda
Bahasha
tiGo pesa
Marefa wamehongwa
GSM anadhamini timu nyingi
wale ni tawi la Yanga
Hawa si wale wa zamani
etc..

Ulichokiandika ni maandalizi tu ya kuendeleza umbumbumbu, ungada, udunduka na umakolo wenu wa kila Yanga inaposhinda.
Ikiuma sema
 
Na kwa tuliobahatika kidogo kuishi / kukaa na akina Bandeko Nangai (Wakongo kutoka DRC) hawa Jamaa unachokiona Nyusoni Kwao sicho kilichopo Mioyoni Mwao.

Unaweza kuwa nae katika Dili (kama la nisaidie nipite) halafu ukampa Hela na akakuahidi kabisa kuwa hakuna wasiwasi ila baadae Shughulini (nisaidie nipite) akakugeuka kabisa kama vile hamkukubaliana na ukajuta.

Wakongo si Watu wa Kuwaamini kabisa.
Kwa hiyo unatuambia nini?
 
Back
Top Bottom