Tetesi: Ibenge kutua Simba kuchukua nafasi ya Benchika

Tetesi: Ibenge kutua Simba kuchukua nafasi ya Benchika

Mr Alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
273
Reaction score
765
Vigogo wa Klabu ya simba wameweka jina la Florent Ibenge kama mrithi sahihi wa kocha aliye ondoka ndani ya timu Yao Abdelhak Benchika.

Ibenge mshindi wa CAF Confederation Cup na mwana fainali ya CAF Champions League Kwa sasa ana inoa Al Hilal Omdurman ya SUDAN.

Mabosi wa Simba Sports Club Wana hitaji kocha mwenye profile iliyoshiba haswaa hapa Afrika ndiyo maana wame muweka Florent Ibenge kama chaguo lao namba moja.

Simba watawapa mkono wa kwaheri baadhi ya wachezaji Ili kuanza kusuka Kikosi kipya Cha maangamizi. Kumbuka Ibenge ni Moja ya makocha wenye uwezo mkubwa wa kutengeneza timu ya kushindana Kwa muda mrefu.
 
Ngoja tuone, tusisajili cocha tu hata wachezaji ni wa kuongeza
 
Ibenge huwa hapendi ubahiri kwenye usajili, hata kama mchezaji ni wa bilioni moja yeye anachotaka aletewe. Hana tofauti na Benchikha kwamba utegemee atavumbua vipaji vya waliopo na ndio maana hukuona wakina Balua wakiaminika kikosini.
 
Ibenge huwa hapendi ubahiri kwenye usajili, hata kama mchezaji ni wa bilioni moja yeye anachotaka aletewe. Hana tofauti na Benchikha kwamba utegemee atavumbua vipaji vya waliopo na ndio maana hukuona wakina Balua wakiaminika kikosini.
Mnaweza kupata kocha mzuri ila uongozi ukibaki uleule fairure iko palepale kwa sababu watasajili tena maboya na kumshinikiza kocha awakubali na kuwasifia na mbwembwe kibao. Mfano ni kwa Robertnho.
 
Makocha wote ambao Simba imeafukuza kuanzia na Pablo ni makocha wazuri sana, walipoondoka Simba wakaenda kufanikiwa sana labda kasoro Robertinho ndiye bado hajajipanga upya tena.

Tatizo kubwa la Simba ni uswahili mwingi na Janja janja. Barbara alikuwa amekata uswahili na janja janja yote timu ikasonga mbele sana. Mpaka sasa akipatikana kiongozi asiyekuwa mswahili na janja janja, Simba itakuwa tishio tena kwa Azam, Prisons na Namungo.
 
Vigogo wa Klabu ya simba wameweka jina la Florent Ibenge kama mrithi sahihi wa kocha aliye ondoka ndani ya timu Yao Abdelhak Benchika.

Ibenge mshindi wa CAF Confederation Cup na mwana fainali ya CAF Champions League Kwa sasa ana inoa Al Hilal Omdurman ya SUDAN.

Mabosi wa Simba Sports Club Wana hitaji kocha mwenye profile iliyoshiba haswaa hapa Afrika ndiyo maana wame muweka Florent Ibenge kama chaguo lao namba moja.

Simba watawapa mkono wa kwaheri baadhi ya wachezaji Ili kuanza kusuka Kikosi kipya Cha maangamizi. Kumbuka Ibenge ni Moja ya makocha wenye uwezo mkubwa wa kutengeneza timu ya kushindana Kwa muda mrefu.
Kocha msaidizi ni Suleiman Matola 🤣🤣🤣
 
Vigogo wa Klabu ya simba wameweka jina la Florent Ibenge kama mrithi sahihi wa kocha aliye ondoka ndani ya timu Yao Abdelhak Benchika.

Ibenge mshindi wa CAF Confederation Cup na mwana fainali ya CAF Champions League Kwa sasa ana inoa Al Hilal Omdurman ya SUDAN.

Mabosi wa Simba Sports Club Wana hitaji kocha mwenye profile iliyoshiba haswaa hapa Afrika ndiyo maana wame muweka Florent Ibenge kama chaguo lao namba moja.

Simba watawapa mkono wa kwaheri baadhi ya wachezaji Ili kuanza kusuka Kikosi kipya Cha maangamizi. Kumbuka Ibenge ni Moja ya makocha wenye uwezo mkubwa wa kutengeneza timu ya kushindana Kwa muda mrefu.
Hana maajabu nayeye ataondolewa tu. Simba itadumu na kukaa na makocha kwa mda mrefu hadi pale uwongozi uliopo utakapo ondoka vingnevyo ni Sawa kupaka rangi upepo.
 
Vigogo wa Klabu ya simba wameweka jina la Florent Ibenge kama mrithi sahihi wa kocha aliye ondoka ndani ya timu Yao Abdelhak Benchika.

Ibenge mshindi wa CAF Confederation Cup na mwana fainali ya CAF Champions League Kwa sasa ana inoa Al Hilal Omdurman ya SUDAN.

Mabosi wa Simba Sports Club Wana hitaji kocha mwenye profile iliyoshiba haswaa hapa Afrika ndiyo maana wame muweka Florent Ibenge kama chaguo lao namba moja.

Simba watawapa mkono wa kwaheri baadhi ya wachezaji Ili kuanza kusuka Kikosi kipya Cha maangamizi. Kumbuka Ibenge ni Moja ya makocha wenye uwezo mkubwa wa kutengeneza timu ya kushindana Kwa muda mrefu.
Kila kocha anaekuja simba anasifiwa ni bora na profile kubwa huwa wanafeli wapi mwisho wa siku? Simba hawajifunzi?
 
Makocha wote ambao Simba imeafukuza kuanzia na Pablo ni makocha wazuri sana, walipoondoka Simba wakaenda kufanikiwa sana labda kasoro Robertinho ndiye bado hajajipanga upya tena.

Tatizo kubwa la Simba ni uswahili mwingi na Janja janja. Barbara alikuwa amekata uswahili na janja janja yote timu ikasonga mbele sana. Mpaka sasa akipatikana kiongozi asiyekuwa mswahili na janja janja, Simba itakuwa tishio tena kwa Azam, Prisons na Namungo.
Barbara aliweza sababu alikuwa karibu sana na tajiri
 
Vigogo wa Klabu ya simba wameweka jina la Florent Ibenge kama mrithi sahihi wa kocha aliye ondoka ndani ya timu Yao Abdelhak Benchika.

Ibenge mshindi wa CAF Confederation Cup na mwana fainali ya CAF Champions League Kwa sasa ana inoa Al Hilal Omdurman ya SUDAN.

Mabosi wa Simba Sports Club Wana hitaji kocha mwenye profile iliyoshiba haswaa hapa Afrika ndiyo maana wame muweka Florent Ibenge kama chaguo lao namba moja.

Simba watawapa mkono wa kwaheri baadhi ya wachezaji Ili kuanza kusuka Kikosi kipya Cha maangamizi. Kumbuka Ibenge ni Moja ya makocha wenye uwezo mkubwa wa kutengeneza timu ya kushindana Kwa muda mrefu.
Huu ndio upuuzi mkubwa wa viongozi ama hao wanaojiita "vigogo" wa Simba.
Upuuzi mtupu.Simba inahitaji wachezaji, kocha alikuwepo na sasa yupo Mgunda pia
 
Back
Top Bottom