aretaskimario
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 527
- 247
Haswaa! Huu ndio ukweli. Lakini shetani anaweza kuumbika kwenye akili za watu kutokana na mafundisho mabaya hata kufikia mahali mtu akaota kuwa Kumuona shetani au mungu kumbe ni mind yake tu imeumba hivyo.
Shukrani mkuu nimependa sana maoni yako :thumbup:
Shukrani mkuu nimependa sana maoni yako :thumbup: