IBILIS Hufungwa Mwezi huu | Kwaninii Watu Hufanya Dhambi Wakati IBILIS Kafungiwa?

Haswaa! Huu ndio ukweli. Lakini shetani anaweza kuumbika kwenye akili za watu kutokana na mafundisho mabaya hata kufikia mahali mtu akaota kuwa Kumuona shetani au mungu kumbe ni mind yake tu imeumba hivyo.

Shukrani mkuu nimependa sana maoni yako :thumbup:
 
Shetani hawezi kujifunga,huyo mnayemuita allah jina lingine ni jini subiani
 
Mkuu, unauhakika ibilisi kafungwa?
 


Msaada mkuu.nitajie ilipo na majina iliyopewa kwa sasa.
 
Hadithi yako haitofautiani na zile za kina zamani palikuwa na fisi na sungura yani cjui kwann watu leo hawaamini kuwa wanyama zamani walizungumza ila tu wanaamini mambo ya kina adam na hawa? Zote ni myths tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…