Ibilisi alinizidi nguvu nikambaka binti yangu jamani nisameheni....


Amina ... na Tunamshukuru Mungu
 

Mke mjamzito kwa hiyo inawezekana anachoka. Jamaa alitakiwa awe mvumilivu
 
hivi tuongee ukweli kuna matendo mengine hata ibilisi hafeel proud anaogopa na kuogopa, pengine huko alisema mungu wangu duh
 
laana hizo na tamaa zilizozidi mipaka, safi sanaa mheshimiwa hakimu kwa kusimamia sheria
 
Ibilisi b*** s**t!
Ibilisi akikuzidi, chua.
Sio kwenda kubaka mtoto wako. Baba mzima kama beberu lisilojua yupi mama na yupi binti.
Dawa ya wabakaji ni ndogo sana, wahasiwe ili ibilisi ashindwe na kulegea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…