Ibilisi wa ngono safarini..

Ibilisi wa ngono safarini..

Mkuu kweli DSM Tanga ni safari fupi,lakini nikutokana na muda niliosafiri,jioni baada yakutoka office, kumbuka Jana ijumaa,all week nilikuwa busy.Masaa6 kukaa tu ktk Bus lazima uchovu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tajir mpole uko right lakn kwan lazma kusimam masaa yote c uinuke kidogo unyooshe miguu mle mle kwenye bas. Kuna sku nilienda bukoba kupitia kahama kuna muda nilikua nasimama na kutembea tembea. Jamaa walikua wanajifanya kumaind nkawaambia hii ni kutokana na afya yangu siwez kuutesa mwili wangu niacheni[emoji23]
 
Tajir mpole uko right lakn kwan lazma kusimam masaa yote c uinuke kidogo unyooshe miguu mle mle kwenye bas. Kuna sku nilienda bukoba kupitia kahama kuna muda nilikua nasimama na kutembea tembea. Jamaa walikua wanajifanya kumaind nkawaambia hii ni kutokana na afya yangu siwez kuutesa mwili wangu niacheni[emoji23]
Sahihi mkuu...Basi nikirudi tafanya kazoezi hako[emoji1] [emoji1] [emoji1] .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wengi wana tabia ya kupenda kuserve fedha safarini hata kama ni 20,000! Wengine hulala hata na kondakta kuserve nauli 15,000 au hela ya guest house 25,000/-. Huu ni udhaifu wa wanawake wengi na ndo maana wanaliwa ovyo safarini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siokweli kiongozi,kuna wengine wanagharamia mpaka Hotel wao mwenyewe na hata chakula njiani ukitaka kulipia wanakataa wanatoa wao pesa.Mfano mzuri huyu Dada wa Jana alionekana yupo vizuri kiuchumi zaidi ya kijana yule na Dada ndie ameelekeza tax hotel yakwenda(Dolphin)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna nguvu gani inayosababisha abiria wa jinsia tofauti,Rika zinazo landana,wanapokuwa ktk safari(Seat za pamoja),safari ndefu(mkoa mpaka mkoa).Mwisho wake huishia Hotel au Guest house?
Nimeuliza haya kwa ninayo yaona marazote nisafiripo na Public Bus.
"Leo nilikuwa safari DSM Tanga,nimepanda Bus pale Ubungo jioni saa10 tumeondoka.Pembeni yangu(viti vya pembeni jirani) alikuwepo bint wa Age 26-30.Tumeondoka nae ubungo akiwa pekeyake,Basi tumefika Bagamoyo kabla yakukata kona alipanda kijana Me age (25-28).Akakaa na yule bint,kimnya kilipita hakuna aliyekuwa na story na mwenzie,haswa bint ndie alikuwa busy na simu yake muda wote.Jamaa yupo busy tunaangalia Move(kideo).Mambo yalianza kubadilika baada kama dk 45 tulifika pale tunachimba dawa,Dada alishuka kujisaidia,kurudi jamaa kakaa dirishani akataka kumpisha,Dada akamwambia hapana kaa tu.Hapo hapo story zikaanza,baada ya lisaa nikaona watu wanaanza egemeana...Vituko vilikuwa vingi,lakini kwaufupi mpaka tunafika stand walikuwa kama wamejuana miaka 2 kabla.Lakini Dada ndie alionekana kuwa na hamu na jamaa sana,mana alionyesha kumng'ang'ania watafute hotel.Mimi nikiwa namsubiria Dereva anifuate.,Niliona wakichukua Tax.
Ila mkononi Dada alivaa Pete nzuri sana.
Samahanini sio mwandishi mzuri na nimechoka na safari,lakini hili limenifanya niandike na usiku huu mana sio Mara yakwanza kushuhudia haya na Mimi mwenyewe nikiwa muhanga zaidi ya Mara3 nishakulaga wadada nikiwa safarini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muwasilisho huu
Hii stori ni ya kwako 100%
Tunasubiria kilichofuata baada ya kuchukua tax na kuelekea kunako stahili...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutana na tukio kama. Lako... Nilipanda bus Toka Arusha saa 6..bus la mchana kwenda dsm.
Jamaa Toka Arusha alikua Ana chat na mkewe kwenye iPad.... Hali ilibadilika pale segera baada ya wadada wawili wa kitanga kupanda bus mishale ya saa Tatu usiku... Mmoja Akakaa na jamaa...
Baada ya nusu saa Wali anza kuchangamkiana jamaa akazima na iPad yenyewe.. Akakata communications na mkewe... Akawa busy na Dada...
Tulikua tuko seats za back bench (nyuma) ya bus kabisa.. Na bus hili halikua na abiria wengi... So usiku taa huwa zinazimwa kasoro za TV ya bus tu..
Huwezi amini maeneo ya kabuku na wami jamaa alikua ananyonywa dushelele yake na huyu mdada.... Me nilishuka mbezi mwisho sijui walivyofika ubungo saa Sita usiku ilikuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutana na tukio kama. Lako... Nilipanda bus Toka Arusha saa 6..bus la mchana kwenda dsm.
Jamaa Toka Arusha alikua Ana chat na mkewe kwenye iPad.... Hali ilibadilika pale segera baada ya wadada wawili wa kitanga kupanda bus mishale ya saa Tatu usiku... Mmoja Akakaa na jamaa...
Baada ya nusu saa Wali anza kuchangamkiana jamaa akazima na iPad yenyewe.. Akakata communications na mkewe... Akawa busy na Dada...
Tulikua tuko seats za back bench (nyuma) ya bus kabisa.. Na bus hili halikua na abiria wengi... So usiku taa huwa zinazimwa kasoro za TV ya bus tu..
Huwezi amini maeneo ya kabuku na wami jamaa alikua ananyonywa dushelele yake na huyu mdada.... Me nilishuka mbezi mwisho sijui walivyofika ubungo saa Sita usiku ilikuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulijuaje kama alikuwa anachat na mkewe?
 
Hapo kunachembechembe za wivu kwani wee una umri gani hadi mwenzio kajichukulia wewe ukiwa upo tuu kimya
 
Hapana ukipewa ushauri mzuri kwa faida yako lazima ufuate,nawe umenishauri vyema I will try ...Sema sikuhizi Costal flight wameturafisishia kwa shilling 85,000 tunaruka wakati Buss ni 18,000.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama unae pesa mkuu paa tu haina shida. Ila kama pesa mawazo hyo gap ya 67000 si mchezo kabsa.
 
katika kusafiri kote ni mara moja tu ndio nimewahi kukaa na mdada tena siti ya watu watatu, wanaume tupo 2 na mwanamke mmoja mi ndio nipo kati, ndio mwanzo na mwisho. Najua kuna wakaka pale Ubungo watazunguka kampuni zote mpaka apate siti moja na totoz na wapiga debe wanalijua hilo sasa kama unataka wanakupandishia dau maradufu.
 
Hapo kunachembechembe za wivu kwani wee una umri gani hadi mwenzio kajichukulia wewe ukiwa upo tuu kimya
Wivu wanini tena mkuu!!Demu simjui nimuonee wivu?nilileta uzi Kutokana na experience.Umri wangu ni kijana bado lakini sina ujana mwingi.Na kuhusu kujichukulia sikuwa interested na huyu dada. Ahsante kwakuchangia uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom