Ninja after Ninja wanafeli daily noma sana Mungu amrudishie afya yake,yeap Bou Nako ni drugs free yule jamaa ni ngumu kuamini hata mmea hapandishi jamaa yuko clean mby.
Napafahamu mkuu kama uko serious ni pm ntakupa namba ya mtu aliyekaribu na hapo atakuelekezaHebu tuelekezeni kwa hiyo Sober ya Kigamboni tusaidie vijana hali mbaya.
acha urongo...Bou nako anakula poda kama kawa...mNako asiye kula ayo madude ni G walawala tu..ye anakula mmea
Asante mkuu kuna dogo hadi chuo kimemshinda na sasa hivi kapoteza kabisa!