Ibraah wa Konde Gang aweka rekodi ya kihistoria YouTube

Ibraah wa Konde Gang aweka rekodi ya kihistoria YouTube

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
IMG_20220402_085024.jpg


Msanii Ibraah kutoka Konde Gang ameweka rekodi ya kihistoria baada ya kuweka video ya wimbo wake mpya uitwao "rara".

Wimbo huo umeweka rekodi ya kupata views zaidi ya laki tatu chini ya dakika moja. Rekodi hiyo inasemekana ni ya kwanza kutokea kwa msanii wa Afrika Mashariki na kati.

Mpaka sasa wimbo huo umepunguza kasi ya kupata views na kufikisha views laki sita katika mtandao wa YouTube hali iliyopelekea kuleta minong'ono kuwa msanii huyo amenunua views na kufanya makosa ya kuzifungulia zote kwa wakati mmoja alipoachia video yake.
 
Pale Konde gang kuna njaa kali ni vilio tu sababu ni kuwa badala ya kufanya biashara ya muziki wao wanawaza kushindana na giants wa muziki wakati uwezo wao hauruhusu.

Sasa wakishajidanganya namna hii wanakaa wanahesabu ni mafanikio tumewafunika wale giants wa muziki.

Wenzao wanafanya biashara tena wapo serious mno na biashara yao Mondi ni superstar wa Africa na millionea lakini anapromoti EP yake utafikiri underground anaetaka kutoka while ana uwezo wa kutoa ata million 100 ya fake views akamfunike Davido.
 
Chawa wa Domokaya wanahara na kutapika utadhan wana mimba changa, woiiiiiiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni Kali aisee inawezekanaje kwenye watu 312k waliotazama wakalike watu 25 tu? na kukawa hakuna dislike hata moja wakati hata Michael Jackson mwenyewe pamoja na kuwa ni kipenzi Cha watu lakini nyimbo zake zina dislike nyingi tu.

Jambo la pili inawezekanaje watu 300k wakazama video kwa sekunde 19 tu?

Mwisho kabisa hapo unamdanganya Nani au wanajidanganya wenyewe? kwa huo mchezo wanaocheza hasara anapata Nani?
 
Hii ni Kali aisee inawezekanaje kwenye watu 312k waliotazama wakalike watu 25 tu? na kukawa hakuna dislike hata moja wakati hata Michael Jackson mwenyewe pamoja na kuwa ni kipenzi Cha watu lakini nyimbo zake zina dislike nyingi tu.

Jambo la pili inawezekanaje watu 300k wakazama video kwa sekunde 19 tu?

Mwisho kabisa hapo unamdanganya Nani au wanajidanganya wenyewe? kwa huo mchezo wanaocheza hasara anapata Nani?
Msameheni nasikia alikosea akabofya kitufe cha kuziachia views, ilitakiwa ikae muda kidogo
 
Hii ni Kali aisee inawezekanaje kwenye watu 312k waliotazama wakalike watu 25 tu? na kukawa hakuna dislike hata moja wakati hata Michael Jackson mwenyewe pamoja na kuwa ni kipenzi Cha watu lakini nyimbo zake zina dislike nyingi tu.

Jambo la pili inawezekanaje watu 300k wakazama video kwa sekunde 19 tu?

Mwisho kabisa hapo unamdanganya Nani au wanajidanganya wenyewe? kwa huo mchezo wanaocheza hasara anapata Nani?
Hivi una miaka mingapi binti?
 
Konde gang na marobot ni kama samaki na maji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hapo wanamdanganya Nani kwanamna nyingine wanaingia Tena gharama za maroboti kwa mtindo huo utapataje faida?
 
Chawa wa Domokaya wanahara na kutapika utadhan wana mimba changa, woiiiiiiiiiiiih
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Mkuu wewe uko upande gani kwenye huu mchezo wa Bongo flava....

Inaonekana Bwana Almasi hajakufurahisha kabisa.
 
Wimbo mzuri ila hapo kwenye views kuna mazingaombwe.
 
Kuna wahindi wanauza viewers fake wasenge wale..Hata Diamond huu mchezo kautumia sana sema kwa hawa wenzetu wamezidi aisee hata hawafikirii jinsi ya kucheza na timing za kufungulia viewers fake😂😂..maIT wa JF watakuja kusema viewers wa youtube hawawezi kuwa marobot nyienyie tembeeni muyaone watu wanavyoingilia hadi mifumo ya benki inayolindwa na coding za hatari sembuse hiyo Youtube
 
Back
Top Bottom