Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndomaana mala nying account za YouTube za wasanii wa kondegang huwa zinapoteaKuna wahindi wanauza viewers fake wasenge wale..Hata Diamond huu mchezo kautumia sana sema kwa hawa wenzetu wamezidi aisee hata hawafikirii jinsi ya kucheza na timing za kufungulia viewers fake[emoji23][emoji23]..maIT wa JF watakuja kusema viewers wa youtube hawawezi kuwa marobot nyienyie tembeeni muyaone watu wanavyoingilia hadi mifumo ya benki inayolindwa na coding za hatari sembuse hiyo Youtube
Youtube wanapita nazo maana hawaibi kwa step mwenzao Diamond alikuwa anaiba kwa tahadhari kubwa na sio kukurupuka kama waoNa ndomaana mala nying account za YouTube za wasanii wa kondegang huwa zinapotea
Wapare mnakunja eagle dah๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Hiyo ndio inaniacha hoi mwisho wa siku msanii unashangaa anashukuru mashabiki badala ya kujishukuru yeyemwenyewe anajidanganya yeye alafu shukrani anampa mtu mwingine
Mbona unacheka?๐๐๐๐
Sizani kwa Diamond ukizingatia ndio msanii wa Africa ukitoa nchi za waarabu mwenye subscriber wengi kuliko yoyote ana 3M so usishangae yeye kuwa na subscriber wengi sababu nyingine ngoma zake nyingi ambazo zinaweka record kwa kuangaliwa kwa muda mchache unakuta zinagonga views nyingi Sana mpaka Leo ni miaka miwili sasa ngoma yake ya inama ina viewers 105M pia na ile ya waah ina viewers 104M na zingine zonegonga 50M mpaka 60M ukija kwa ngoma za kondegang zinaenda zinafika kipindi zinaganda hazitembei ngoma zao nyingi zinaishia kwenye 4MYoutube wanapita nazo maana hawaibi kwa step mwenzao Diamond alikuwa anaiba kwa tahadhari kubwa na sio kukurupuka kama wao
Kiba 4 Real.Mkuu wewe uko upande gani kwenye huu mchezo wa Bongo flava....
Inaonekana Bwana Almasi hajakufurahisha kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Team domokaya wameumia sana
Chaaaaiii jaaaabaaaaaaa
Sasa hapo wewe na hao unaowaita machawa una tofauti gani?Kiba 4 Real.
Sio chawa n fan wa kiba. Ila hawa wa domokaya n makerubi, maan uchawa wameshapita level hiyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hapo wewe na hao unaowaita machawa una tofauti gani?
Kiba 4 Real.
Kwamba Leo nipo online niulizeni chochote ๐๐๐๐Shida ni moja, sisi watanzania vipaji tunavyo sana japo watu wengi wanawaponda wasanii wetu. Shida imekuja kwenye digital platform huko YouTube, Audiomack, Spotify, Tidal na kwengineko. Baada ya muamko wa wasanii kujiunga na hizo digital platforms tajwa hapo juu wanabaki njia panda kwakuwa wanakosa njia sahihi zaku "drive" watu waingie huko mitandaoni kuzifuata nyimbo zao.
Hata kama watanzania tuna utamaduni wakutonunua kazi za wasanii ila hii moja kwa moja inachangiwa na wasanii wenyewe. Unakuta msanii mkubwa au mdogo anakuwa na page ambayo haieleweki kabisa (wengine wanatunga hadi websites za uongo ili wajaze taarifa huko fb,insta au tweeter anaandika msami.com), page almost mwezi mzima kimya na baada ya ku post anaandika niko free niulize swali lolote au anatia kijembe kwa msanii mwenzie, hapa nani atakuwa interested na huyo msanii?.
Artist upcoming au hata yule ambaye yuko mainstream anapambana kila iitwapo leo kuuaminisha umma ya kwamba yeye ni msanii mkubwa kwakuvaa macheni, ku "ride" magari ya kifahari lakini anasahau quality mbovu ya mziki wake, video inatoka ikiwa na copyright issues kibao mwisho wa siku video zinaishia kupondwa na kushushwa huko mtandaoni. Msanii mmoja anataka aposti mwenyewe, apokee simu za shoo, aandae studio session na producer, a "upload" nyimbo zake mtandaoni, aonekane ana ball na ma "belle" wakali, aandike nyimbo, afanye review za nyimbo kabla hajaziachia na mengine mengi, hapo kuna kufika kweli?. Mbaya zaidi Public Figures wengi wa bongo hawana contents za ku share na public, kama hawatajiliza, kuponda na kuweka mapambio ya kusifia Uongozi unakuta hana chaku "posti" kabisa. Wengine Elimu ndogo basi ataandika kiingilishi cha kuokota ilimradi tu..
I swear bongo hawa wasanii na public figures ni pasua kichwa.