Ibrahim Ajib mchezaji wa simba sc afunga ndoa

Huyu kamtangaza tu kwa watu Leo alikuwa mke wake kitambo...
 
Hivi huyu jamaa alifiwa na mke au mtoto miezi ya karibuni?
 
Huyu si alifiwa na mke mwezi huu huu.... ?
 
Kwani mwanaume anakaa eda?! Hata angekufa jana,kuoa leo sio kosa kwa imani yake
Aisee.... But within three weeks umeshapata mchumba na kumuona, maybe ilikuwa nyumba ndogo
 
Sheria za dini ya kiislam haziruhusu mwanaume kukaa bila mke hata sekunde.Aliyefiwa mke ana ruhusa ya kwenda kutafuta mke wa kufunga naye ndoa na akafunga naye ndoa kisha akarudi na mke mpya kuja kuzika mkewe.
Hii siyo kamba nilipewa na shekhe mmoja hivi alikuwa staffmate mwenzangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…