Acha mapovu wewe kubali tu kwamba mlizoea kufanya manuva na hiyo ligi kuu nayo itakuwa ngumu kumeza mwaka huu.
Kama mtakuja na dhana iliyowaondoa mapema champions league ubingwa mtausikia kwa jirani.
Sasa hivi mmekuwa kama simba wa kwenye picha ambaye hang'ti ,shut up !