Ibrahim Ajibu mchezaji mwenye bahati mbaya sana kisoka

Ibrahim Ajibu mchezaji mwenye bahati mbaya sana kisoka

tangu aletege nyodo pale msimbazi me huyu jamaa walaaa. nilishangaa sana viongozi simba kumsajili tena.
 
Masau bwire mzee wa mpapaso Leo kafanya yake pale taifa
Acha mapovu wewe kubali tu kwamba mlizoea kufanya manuva na hiyo ligi kuu nayo itakuwa ngumu kumeza mwaka huu.

Kama mtakuja na dhana iliyowaondoa mapema champions league ubingwa mtausikia kwa jirani.

Sasa hivi mmekuwa kama simba wa kwenye picha ambaye hang'ti ,shut up !
 
Back
Top Bottom