Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 271
kweli mkuu ndo maana hata kipigo chake kilikuwa kikubwa 5-0,5-0,4-1,2-0Simba ni klabu kubwa Sana kwa ukanda huu wa Africa mashariki na Kati kwaio kuchezea Simba na tetesi zilizosambaa kutakiwa Tena kumemuongezea CV kwake
Umeongea pointi sana! zahera anaiua yanga anajenga club za kwaoMpaka wananchi waje kujua nini Zahera anawafanyia, watakuwa daraja la pili mwakani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],kweli mkuu ndo maana hata kipigo chake kilikuwa kikubwa 5-0,5-0,4-1,2-0
Mkuu kama hutojali,hivi Sasa Ajibu anachezea tim gani hapa Tz.Simba ni klabu kubwa Sana kwa ukanda huu wa Africa mashariki na Kati kwaio kuchezea Simba na tetesi zilizosambaa kutakiwa Tena kumemuongezea CV kwake
Ila Robo final imecheza....Nini Mnyama Barcer kala 4 na Messi wao juu Kila timu ilikua inatumia Home advantagekweli mkuu ndo maana hata kipigo chake kilikuwa kikubwa 5-0,5-0,4-1,2-0
kacheza ama katia aibu, ana tofauti gani na watford fainali kupigwa 6-0 (kwa akili zako wangeshangilia kucheza fainal) wakati ni aibu tupuIla Robo final imecheza....Nini Mnyama Barcer kala 4 na Messi wao juu Kila timu ilikua inatumia Home advantage
Apo nadhani Zahera mnamuonea maana hausiki na lolote hapoUmeongea pointi sana! zahera anaiua yanga anajenga club za kwao
Huyo aji huwa anamuweka benchi ili kuaminisha watu kuwa kaisha kumbe ana lake moyoni
Apo nadhani Zahera mnamuonea maana hausiki na lolote hapo
Zahera kaja mwaka Jana kamkuta Ajibu mchezaji wa Yanga aliebakisha mwaka mmoja na amemtumia Hadi Sasa msimu unaisha, Apo anahusika vipi?
Kumbuka Yanga imejiendesha msimu mzima Bila viongozi Hadi juzi Uchaguzi ulipofanyika na hakuna mchezaji alieongezewa mkataba Wala alieachwa unamlaumu vipi hapo?
[emoji23] Mi ni Yanga lialia ila comment yako imenivunja mbavuu uuwii [emoji23] [emoji23]Mpaka wananchi waje kujua nini Zahera anawafanyia, watakuwa daraja la pili mwakani.
vipigo vitakatifukweli mkuu ndo maana hata kipigo chake kilikuwa kikubwa 5-0,5-0,4-1,2-0
Anaongezewa vipi mkataba wakati klabu haina pesa wala viongozi wa kutafuta pesa?Yeye kama kocha anaejua wachezaji wake wote kuanzia viwango mpaka tabia, alipaswa asimame kidete kuhakikisha ajibu anaongezewa mkataba,, ila yeye ndo alkua wa kwanza kumuweka benchi bila hata sababu, yote hio kutaka kuonesha mashabiki na viongoz kuwa ajib si lolote na hata bila yeye yanga inaweza
Mwisho wa siku kampeleka kwao,,, acha achukue na 10% ya uwakala
Ahakikishe anaongelewa mkataba na nini? Wakati Yanga haikuwa na uongozi? Wachezaji walikuwa hata mishahara hawalipwi yeye Zahera ndo alikuwa anawabembeleza wacheze na wakawa wanamsikiliza , ingekuwa na kocha mwingine Yanga hata msimu isingemaliza achilia mbali kushika nafasi ya 2.Yeye kama kocha anaejua wachezaji wake wote kuanzia viwango mpaka tabia, alipaswa asimame kidete kuhakikisha ajibu anaongezewa mkataba,, ila yeye ndo alkua wa kwanza kumuweka benchi bila hata sababu, yote hio kutaka kuonesha mashabiki na viongoz kuwa ajib si lolote na hata bila yeye yanga inaweza
Mwisho wa siku kampeleka kwao,,, acha achukue na 10% ya uwakala