OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa sasa Simba ni kama Ulaya kwa wachezaji wa ligi yetu. Wanafikiria kuja Simba(Ulaya). Wachezaji wakali wote hapa bongo wanapaswa kuwa Simba,ndio airport ya kuelekea mbele zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ilibidi ulianzishie uzi wakeKwa sasa Simba ni kama Ulaya kwa wachezaji wa ligi yetu. Wanafikiria kuja Simba(Ulaya). Wachezaji wakali wote hapa bongo wanapaswa kuwa Simba,ndio airport ya kuelekea mbele zaidi
Haijulikani kama alifeli au lah!Akiwa Simba,kabla hajaenda Yanga,Ajib aliwahi kufanya majaribio timu moja Egypt...Hivi alifeli yale majaribio?
Ndo nilisema hiyo ilikuwa zamani sio sasa! Je bado anacheza??
Cha muhimu zaidi tunachoangalia hapa je katika muda wote huo alivuna vya kutosha??
umeeleweka mkuuAnachofanya ajibu ndiyo reflection ya wabongo karibia wote huwa tunalizika na maendeleo kiduchu tunayopata nadhani ndivyo tulivyoumba hasilaumiwe ajibu, unamlaumu ajibu badala ya kuilaumu yanga kuwa ombaomba toka 1935 ilipoanzishwa (yanga ni case study tu nisije nikauwawa)
Mzee kinachoangaliwa ni maslahi! maana umri haukusubiri na kama ulaya hana mpango wa kwenda afanye nini?? Yanga wenyewe hawaelewekiAjibu kama ana akili timamu, bora akaendelea tu kuvumilia maisha ndani ya Yanga. Akiona maisha magumu, aamue tu kutimkia Azam ila siyo Simba. Akirudi Simba ataishia tu kwenye ile kazi yake iliyomkimbiza pale awali ya kuchoma mahindi hadi kuamua kukimbilia Yanga.
Atamuweka benchi nani pale simba! Huyo Tuyisenge aliyesajiliwa au Medd Kagere? ajifunze kwa Adam Salamba na wenzake kwa namna wanavyosugua benchi. Labda kama anataka tu maisha mazuri huko simba.
Nakushauri tuuPale Jangwani hajapa mpinzani siku akirudi Msimbazi na kusugua benchi lazima amfuate jezi no. 8 ya Msimbazi kuuliza vp mzee ulikuwa benchi tukajua umeisha lakini hivi karibuni unafanya vitu wanamsimbazi wanakupigia makofi na jibu litakuwa moja tu... HARD WORKING... Kupata nafasi Msimbazi lazima ujitume sio kwa kumfata yule Mzee wa jangwani akupeleke Tandele kwa Mzee wa mizizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli! kuhusu swala la mazoeziKama ni mvivu wa mazoezi hawezi kufiti kwenye soka ya ulaya abaki hapa hapa bongo. Soka ya ulaya ni akili na hard work ( strength ,speed na stamina).
Sio kweli! kuhusu swala la mazoeziKama ni mvivu wa mazoezi hawezi kufiti kwenye soka ya ulaya abaki hapa hapa bongo. Soka ya ulaya ni akili na hard work ( strength ,speed na stamina).
bro ..
Miaka 45 kwa soka ni mingi mnoo. pia ilikuwa zamani sio sasa!
Wengi wanacheza ligi ambazo sio za ushindani!
Mtaje basi mchezaji mwenye miaka 45 anayecheza ligi ya ushindani??
Acha utani basi!kagere na nyoni
Kukosa mwongozo na kutokuwa na watu sahihi ktk kumwongozaTunaishi kwenye dunia hii moja, wote kwa pamoja, tunaishi kwa pamoja pia mzunguko wetu wa maisha ni mmoja!
Lakini kuna watu ni kinyume chake, wao wana mzunguko wao, maisha yapo kivyao, tabia kivyao!
Ibrahim ajibu, huyu mtu ana dunia ya peke yake!
Ni mmoja kati ya namba kumi bora kwa sasa kwa upande wa wazawa na wageni pia! (baadhi)
Huwa namshangaa sana ajibu anauchukulia mpira kirahisi!
Yaani anaufanya kama mzaha na masikhara kwake, na mpira unamtii bila shuruti!
Mpira unampenda ajibu ila yeye anauona rahisi mno,anaufananisha na kunywa maji! Mtu wa ajabu huyu! Mvivu wa mazoezi, lakini bado mpira unamtii!
Nijikite kwenye Mada zaidi..
Nimeskia ajibu kashaanza mazungumzo na club yake ya zamani simba!
Well sio jambo baya yeye kurudi alipotoka! Na wala sio jambo zuri yeye kurudi alipotoka zaidi ya yeye kuwa vizuri kimaslahi!
Kama ninavyosema ajibu anauchukulia mpira kimasihara sana na ndo maana mpaka sasa yupo yanga jambo baya zaidi hajali kuhusu maslahi yake yeye anauchukulia mpira kama starehe!
Halitokua kuwa jambo la ajabu yeye kuongeza mkataba yanga!
Ingekuwa vipi kama mbwana samatta angeendelea kubaki simba mpaka Leo?
Sio ajabu sasa angekuwa ndanda! Au mwadui!
Kwanini? Sababu mpira ni short career Leo unacheza baada ya miaka kumi tayari mpira unaanza kukukataa!
Wakati mwingine huwa nafikiri sababu ya wachezaji wetu wengi kutokucheza nje ni sababu ya uongozi unaowasimamia
lakini pia hakuna wakala asiyetaka kumsimamia mchezaji mzuri!
Jambo la msingi ni kwenda na wakati, muda haukusubiri!
Kwa sasa soka la ulaya limejaa wachezaji aina ya ajibu.
Wasiotumia nguvu nyingi.
Akili nyingi..
Wenye jicho mbele ya goli!
Na kizuri zaidi ajibu ni kiungo!
Anaweza kutumika nyuma ya striker na akafanya vizuri! Ukizingatia kwa sasa viungo wa aina hiyo wapo wachache!
Ni wakati sasa wa ajibu kufikiria career yake na maisha yake pia nikimaanisha maslahi!
Mpira ni pesa na pesa iko miguuni kwake!
Naunga mkono ajibu kurudi Simba (sipo kishabiki hapo)
Leo hii mchezaji kama samatta
Akifikisha miaka 30 anaweza kuanza kusomea kozi ya ukocha huko kwa wazungu huku anamalizia soka lake!
Baada ya muda pale Genk anaweza kupewa team ya vijana akaanza nayo huku anapiga pesa huku anatengeneza jina kwa kupitia taaluma nyingine ya ukocha!
Yote haya yanakuwa ukiwa ulaya tofauti na huku kwetu Africa!
"Pancho boy "
Ni Shabani Nditi wa Mtibwa Sugarbro ..
Miaka 45 kwa soka ni mingi mnoo. pia ilikuwa zamani sio sasa!
Wengi wanacheza ligi ambazo sio za ushindani!
Mtaje basi mchezaji mwenye miaka 45 anayecheza ligi ya ushindani??
MO anataka Hati za jengo la clubAnachofanya ajibu ndiyo reflection ya wabongo karibia wote huwa tunalizika na maendeleo kiduchu tunayopata nadhani ndivyo tulivyoumba hasilaumiwe ajibu, unamlaumu ajibu badala ya kuilaumu yanga kuwa ombaomba toka 1935 ilipoanzishwa (yanga ni case study tu nisije nikauwawa)