Ibrahim Bacca top defender, tumpeni maua yake

Ibrahim Bacca top defender, tumpeni maua yake

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Katika sajili ambazo Yanga walizifanya na scouting ya maana ni uyu mzanzibari Ibrahim Bacca, ni beki ambaye anastahili maua yake

Anajua kukaba mshambuliaji wa aina yeyote yule, anatumia akili zinapohitajika na anatumia nguvu pale inapoitajika

Namuona Nadir Haroub Canavaro ndani ya Bacca, yule mshambuliaji hatari wa malumo Ranga chivaviro kawekwa mfukoni na bwana mdogo mpaka akapanic, dogo ni king'ang'anizi anaakikisha anakukaba mpaka kivuli chako

Ranga Chivaviro atamuota leo uyu dogo, kapiga kazi ya maana leo na kwangu mimi binafsi ndiye Man of the match, tokea Bacca aanze kuchezeshwa kwenye safu ya ulinzi ya yanga kuna kitu kikubwa kakiongeza, na Yanga aijaruhusu goli tokea asimame pale yeye na mwamnyeto, kwakweli yanga ilipata quality ya defender apewe pongezi zake🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏
 
Katika sajili ambazo yanga walizifanya na scouting ya maana ni uyu mzanzibari Ibrahim bacca, ni beki ambaye anastahili maua yake, Anajua kukaba mshambuliaji wa aina yeyote yule, anatumia akili zinapohitajika na anatumia nguvu pale inapoitajika
Namuona Nadir haroub canavaro ndani ya bacca, Yule mshambuliaji hatari wa malumo Ranga chivaviro kawekwa mfukoni na bwana mdogo mpaka akapanic, dogo ni king'ang'anizi anaakikisha anakukaba mpaka kivuli chako,
Ranga chivaviro atamuota leo uyu dogo, kapiga kazi ya maana leo na kwangu mimi binafsi ndiye Man of the match, tokea bacca aanze kuchezeshwa kwenye safu ya ulinzi ya yanga kuna kitu kikubwa kakiongeza, na yanga aijaruhusu goli tokea asimame pale yeye na mwamnyeto, kwakweli yanga ilipata quality ya defender apewe pongezi zake🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏
Umeniwahi wapi ndo nilikuwa nataka kuandika
 
💐🌹🥀🌺🌷🌷💮☘️🍀 Nadhani kijana anastahili kabisa. Uchezaji wake hauna tofauti kubwa na ule wa Nadir Haroub Cannavaro. Amekuwa ni beki kisiki kweli kweli.

Naamini hata kwenye ile mechi na simba kama angeanza, muda huu tungekuwa tunaongea story nyingine kabisa. Simba siyo timu ya kuifunga hii Yanga ya wakati huu.
 
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💪💪💪 Bacca ametisha sana! Maua kama yote now now! Big up Bacca unakaba miguu, kichwa bukta, mikono, kivuli hadi jamaa wanaomba poo!! Mo akija back door basi tuambie Huku utopoloni usifanye kama Feisal. Dogo Kaharibu sana!

Huu ukuta WA Yanga wa Sasa chini ya Nondo na Bacca Huku Dickson Job na Lomalisa au Kibwana na Djuma Soja ya Pemba , Sasa umefikia Kiwango sawa kabisa au kuzidi ule ukuta WA Italia wa kina Maldini, Nesta na wengine!!

Tukumbuke Leo Yanga wamepewa TSH 20 million za Bimkubwa Samia au ni zaidi? , Makolo washasahau hizo Mawe maana waliumaliza mwendo long fk ago!! Poleni sana Mbumbumbu japo makombe yenu ya kufa kiume utopoloni tunayaonea wivu!

Haya wajumbe wa CAF Toka Mbumbumbu kolokoloni fc njooni Sasa mseme mshiko wa kushinda nusu nusu fainali Shirikisho cup ni sawa na timu iliyoshinda hatua ya awali club bingwa CAF!! Mnatia huruma sana Makolo!!

Kweli fungu la kukosa ni aibu sana, msimbazi imeloa imelooooa, yaani hata kombe la ndondo mmeshindwa kubeba mwaka huu? bilioni 800 za MBet ziko wapi? mmegawana viongozi?
 
[emoji253][emoji257][emoji1651][emoji259][emoji255][emoji255][emoji816][emoji3515][emoji256] Nadhani kijana anastahili kabisa. Uchezaji wake hauna tofauti kubwa na ule wa Nadir Haroub Cannavaro. Amekuwa ni beki kisiki kweli kweli.

Naamini hata kwenye ile mechi na simba kama angeanza, muda huu tungekuwa tunaongea story nyingine kabisa. Simba siyo timu ya kuifunga hii Yanga ya wakati huu.
Huyu dogo ni zaidi ya cannavaro coz hyu dogo anatumia akili zaidi sio km cannavaro alikuwa beki wa butua butua
 
Katika sajili ambazo Yanga walizifanya na scouting ya maana ni uyu mzanzibari Ibrahim Bacca, ni beki ambaye anastahili maua yake

Anajua kukaba mshambuliaji wa aina yeyote yule, anatumia akili zinapohitajika na anatumia nguvu pale inapoitajika

Namuona Nadir Haroub Canavaro ndani ya Bacca, yule mshambuliaji hatari wa malumo Ranga chivaviro kawekwa mfukoni na bwana mdogo mpaka akapanic, dogo ni king'ang'anizi anaakikisha anakukaba mpaka kivuli chako

Ranga Chivaviro atamuota leo uyu dogo, kapiga kazi ya maana leo na kwangu mimi binafsi ndiye Man of the match, tokea Bacca aanze kuchezeshwa kwenye safu ya ulinzi ya yanga kuna kitu kikubwa kakiongeza, na Yanga aijaruhusu goli tokea asimame pale yeye na mwamnyeto, kwakweli yanga ilipata quality ya defender apewe pongezi zake🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏
lile jina la ZANZIBAR FINEST lipokonywe kwa yule mwehu akili mbili,apewe huyu jamaa
 
Mbona hii comment yako ni kama umekabwa na kitu kigumu kooni.
Huyu mtoto anastahili hizi sifa ni beki aliekamilika anaweza cheza mipira ya juu kwa asilimia mia moja.
Anauwezo wa kucheza mipira ya chini anapiga tackling za akili sana kifupi bwana mdogo ni beki hasa.

Mkuu ongea nao polepole ao leo wana hasira sana unaweza kusikia kajinyonga ukapewa kesi wewe
 
Katika sajili ambazo Yanga walizifanya na scouting ya maana ni uyu mzanzibari Ibrahim Bacca, ni beki ambaye anastahili maua yake

Anajua kukaba mshambuliaji wa aina yeyote yule, anatumia akili zinapohitajika na anatumia nguvu pale inapoitajika

Namuona Nadir Haroub Canavaro ndani ya Bacca, yule mshambuliaji hatari wa malumo Ranga chivaviro kawekwa mfukoni na bwana mdogo mpaka akapanic, dogo ni king'ang'anizi anaakikisha anakukaba mpaka kivuli chako

Ranga Chivaviro atamuota leo uyu dogo, kapiga kazi ya maana leo na kwangu mimi binafsi ndiye Man of the match, tokea Bacca aanze kuchezeshwa kwenye safu ya ulinzi ya yanga kuna kitu kikubwa kakiongeza, na Yanga aijaruhusu goli tokea asimame pale yeye na mwamnyeto, kwakweli yanga ilipata quality ya defender apewe pongezi zake[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji256][emoji3515]⚘️[emoji257][emoji1651][emoji259][emoji254][emoji253]🪷[emoji260][emoji253][emoji816][emoji254]🪷[emoji257][emoji1651][emoji259]🪴⚘️🪻[emoji255]
 
Back
Top Bottom